PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
Kiukweli huwa simwelewi, hasikiki, unatuumiza masikio kwasababu hujui kuhutubia bali wewe ni mpayukaji na mpiga kelele tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa waliopata bahati ya kuona mtu aliyelala anapoongea (kuota), au mtu ambaye malaria imepanda kichwani, anaweza kunielewa zaidi ntakaposema kule ni "kuweweseka" (Kuongea bila kujua maana). Kusema anapiga kelele naona kama bado ni understatement.
Kupopoma hahahah
Kusikika anasikika ila tu sauti anayotoa inaweza kuwa si ya kupendeza masikioni. Sijui kama wanasiasa udhani kuwa ukihutubia kwa 'kupiga kelele' ndiyo unaonyesha uanasiasa. Nina hakika ukitoa hotuba kwa sauti yako ya kawaida bado watu watakuelewa tu. Lakini kwa upande mwingine pengine wako sahihi maana tu naona waubiri wengine wa dini pia upayuka hivyo hivyo katika maubiri yao.Kiukweli huwa simwelewi, hasikiki, unatuumiza masikio kwasababu hujui kuhutubia bali wewe ni mpayukaji na mpiga kelele tu.