Nape Nnauye hana ugonjwa wa kisaikolojia, Daudi Bashite hana mwisho mzuri

Stupidy.

Ni watu wajinga tuh ndiyo wanaweza ongea hivyo.

Tena wenye thinking capacity kama ya bashite mwenyewe.
Hahahaha mkuu achana nao hao eti anasema wale askari walimsindikiza tu clouds?? Kinachochekesha makonda hajawahi kanusha kilichotokea clouds na vilevile hta tume ilioundwa hakujitokeza then hawa watetezi ndio wanajifanya kujua kilichotokea zaidi ya hata makonda mwenyewe??? Does it make sense!!!
 
Mimi nawaza tu.

Una baba, mtoto unaemtegemea au jitu somi kabisa lakini siku moja unafuatilia nyendo zake mitandaoni unakuta komenti kama "hahahahaha Mange we kiboko, Juma Pondamali Maharage, Bashiteee, utaisomaaa " kwanza jua huyo mtu ana element za ushoga au usagaji na tapu tapu hajielewi, umasikini mpaka takoni anahimili hela ya bando tu. Mtu yuko MTWARA au MOSHI huko na yeye halali kakomaa BASHITE, BASHITE , VYETI VYETI - Ninyi mbona vyeti vyenu hamviweki wazi mitandaoni mkaonesha mfano au WAULIZE WAZAZI WAKO na wao wakuoneshe VYETI VYAO Kwanza ndo uulize vya WANAMUME KUTOKA LAKE ZONE

Mkaruka;
Waongera bwakisii?? Kweli nyani hani kundule. Ukajiona umeandikaaa yaani mpaka ma GT wa jf wakanyamaza. Utumbo huu ndio tunajiuliza, hivi mwanao angelikufuma una bonyeza kile kitufe cha "send" angeli kuelewa?? Nadhani mwenye hizo element ni weye kwani mabwabwa wengi wametokea huko Lake Zone kwenu. Sema tu mkuu kuwa umeibiwa huyo mme.
 
Mkaruka;
Waongera bwakisii?? Kweli nyani hani kundule. Ukajiona umeandikaaa yaani mpaka ma GT wa jf wakanyamaza. Utumbo huu ndio tunajiuliza, hivi mwanao angelikufuma una bonyeza kile kitufe cha "send" angeli kuelewa?? Nadhani mwenye hizo element ni weye kwani mabwabwa wengi wametokea huko Lake Zone kwenu. Sema tu mkuu kuwa umeibiwa huyo mme.
Ushakula jiwe la utosi Mangi
 
Mimi nawaza tu.

Una baba, mtoto unaemtegemea au jitu somi kabisa lakini siku moja unafuatilia nyendo zake mitandaoni unakuta komenti kama "hahahahaha Mange we kiboko, Juma Pondamali Maharage, Bashiteee, utaisomaaa " kwanza jua huyo mtu ana element za ushoga au usagaji na tapu tapu hajielewi, umasikini mpaka takoni anahimili hela ya bando tu. Mtu yuko MTWARA au MOSHI huko na yeye halali kakomaa BASHITE, BASHITE , VYETI VYETI - Ninyi mbona vyeti vyenu hamviweki wazi mitandaoni mkaonesha mfano au WAULIZE WAZAZI WAKO na wao wakuoneshe VYETI VYAO Kwanza ndo uulize vya WANAMUME KUTOKA LAKE ZONE
Aliyeanza kudai vyeti vya hao WANAUME Ni huyo huyo pumba maharage!! Au hukusikia akitaka uhakiki wa vyeti vya watu?(wafanyakazi) au naye kawa shoga! Yaani mtu ukitilia mashaka elimu ya kanjanja flani unaitwa shoga? We utakua ni shoga si bure
 
Kama Clouds wamevamiwa waambie waende Polisi
Eti eeh!! Ila tundu lisu akiongea neno la "uchochezi" anakamatwa na sirro but sisi raia ni mpaka turipoti???

Kwa hyo wale majambazi kuua watu kule vikindu ilihitaji taarifa ya polisi ndio hatua zichukuliwe?? na kma haikuhitaji what is so hard kwa sirro kushughulikia swala hili
 
Aliyeanza kudai vyeti vya hao WANAUME Ni huyo huyo pumba maharage!! Au hukusikia akitaka uhakiki wa vyeti vya watu?(wafanyakazi) au naye kawa shoga! Yaani mtu ukitilia mashaka elimu ya kanjanja flani unaitwa shoga? We utakua ni shoga si bure
Yeye ni haki yake kudai vyeti vyao maana ndie mwajiri wao, sasa wewe unaedai vyeti vya Makonda umekuwa mke wake ?
 
Eti eeh!! Ila tundu lisu akiongea neno la "uchochezi" anakamatwa na sirro but sisi raia ni mpaka turipoti???

Kwa hyo wale majambazi kuua watu kule vikindu ilihitaji taarifa ya polisi ndio hatua zichukuliwe?? na kma haikuhitaji what is so hard kwa sirro kushughulikia swala hili
Hujielewi mangi, kunywa kisusio ukalale
 
Yeye ni haki yake kudai vyeti vyao maana ndie mwajiri wao, sasa wewe unaedai vyeti vya Makonda umekuwa mke wake ?
Sasa sisi tunamkumbusha kuwa katika hao waajiriiwa wenzake kuna mmoja kafoji cheti!! Kuna ubaya gani? Wewe utakuwa ni mke wa bashite!! Huwezi kumtetea mume wa mwenzako hivi!! Au wewe ni mchepuko wake!
 
Mimi siwez mpenda mwanaume mwenzangu Mkuu

Labda kama wewe ni hulka zako hizo samahan hilo litakuwa ni juu yako.

Mimi nina akili zangu timamu

Asie na akili timamu ni wewe na huyo daudi bashite unaejaribu kumkingia kifua
Kila mwenye akili timamu hawez kumkingia kifua daudi bashite

Mimi nina akili timamu na nina mkingia kifua Paul C.Makonda.

Na sababu ni moja tu...Vita yenu ya kashfa dhidi yake imeanza baada ya vita yake dhidi ya madawa ya kulevya. Mngekuwa nyinyi ndio mlianza kumpiga vita ya vyeti then yeye akawasingizia mnauza madawa ningesimama pa1 nanyi..

Ila for now till the end nyie ni wauza na watumia madawa tu
 
Sasa sisi tunamkumbusha kuwa katika hao waajiriiwa wenzake kuna mmoja kafoji cheti!! Kuna ubaya gani? Wewe utakuwa ni mke wa bashite!! Huwezi kumtetea mume wa mwenzako hivi!! Au wewe ni mchepuko wake!
Visusio vimewaharibu akili hebu badilikeni mangi
 
Kuna member mwenzetu humu JF aliandika uzi ambao uliegemea kwenye maudhui kuwa Nape Nnauye ana matatizo ya kisaikolojia kias cha kumpelekea mheshimiwa huyo kila mara kuonekana akikumbuka mambo mbali mbali hususan yanayohusiana na juhud zake ambazo amekuwa akizifanya katika kukipigania chama,hadi kilipomuingiza Juma Poor Manager madarakan hadi kwa yeye kuchukua nafasi ya uwaziri na baadae kuondolewa kwa hila kutokana na kumshikia bango Daudi Bashite katika suala la Uvamiz wa Clouds media group hali iliyopelekea taharuki na hasira kali kwa wananchi na Tasnia ya habari kwa ujumla.

Mimi nachoweza kusema ni kwamba Nape hana tatzo la kisaikolojia...

Kwa sisi wamakonde tunaweza kusema kwamba hana Ntimanyongo..ila kitu kinachomzonga akilini mwake ni kwamba kuna kosa gan ambalo amewahi kulifanya hapo awali dhidi ya Juma Poor Manager hadi afikie hatua ya kumtafutia sababu ya hovyo kabisa ya kumwondoa kwenye position ambayo yeye ameihudumu kwa weledi wa hali ya juu sana i.e ya uwazir wa habari mpaka hatua ya mwisho kabisa katika position hiyo?

Kwanza,ameihudumu ofisi hiyo katika hali ya utiifu sana kwa upande wa serikali hii naweza kutolea mfano kwa tukio la yeye nape hadi kufikia hatua ya kutukwaza sisi wananchi kwa kusimamia ajenda ya kuzuia bunge lisioneshwe live ili mradi tuh amfurahishe Juma Poor Manager hata kama akijua kwamba mamillion ya watanzania hawamuungi mkono.

Pili alisimama kidete kwa wahanga wa sakata la daudi bashite i.e wamiliki wa vyombo vya habari na kuhakikisha anaipigania haki yao na kuhakikisha pia image ya serikali na Rais wake asie msikivu inalindwa na kuweka hali ya hewa kuwa sawia..

Lakin pamoja na juhud zake hizo bado akaonekana ni mtu asiefaa na ambae anatakiwa kuondolewa mara moja ili hali daudi bashite ambae hakuwa na haki ya kubakia hata kwa sekunde moja kwenye nafasi aliyopo amee delea kuwepo tena kwa kusifiwa na yule yule aliemtengua yeye katika nafas ambayo kiukweli amefanya kadir ya uwezo wake woote kuthibitisha kuwa hakupewa nafas ile kama ahsante bali amedeserve na ameonesha viwango vilivyostahili...

Hali hii kibinadam yeyote yule lazima ingemsumbua kama inavyomsumbua nape na kumweka katika mabano kwamba kuna nin?kuna kipi ambacho amekikosea na amefichwa kuelezwa?

Maana kwa mantiki ya kawaida kwa alichokifanya hata yeye Juma Poor Manager moyoni mwake anajua fika kuwa ni sahihi na hata daudi bashite anafaham fika kuwa kama kuzingua basi kazingua na kupitiliza.

Lakin kwa vyovyote vile iwavyo..Daudi bashite achukuliwe hatua leo au hata aachwe hatakuwa na mwisho mzuri ndan ya utawala wake alionao hiv sasa pia hatakuwa na mwisho mzuri kwa jamii anayoiongoza vile vile.

Ametengeneza taharuki kwa viongoz wengine waliobakia kuanzia kwa makamu wa rais,waziri mkuu na hata mawazir wengine mfano tumeona hata mwakyembe akifyata mkia.

Pia ametengeneza taharuki kwa wamiliki wa vyombo vya habari ambao hivi sasa wao na yeye ni kama panya na paka katika mahusiano yao ya kila siku.

Nape Nnauye kikubwa yeye afaham kwamba kipo kilichomuondoa tuh ukiachilia mbali hili la daudi bashite

Kwa kuwa hili alilifanya nape kwa daudi bashite hata Juma Poor Manager anafaham kabisa kuwa yupo sahihi.

Muda Utaeleza wenyewe...Daudi Bashite hauna mwisho mzuri.
Nenda chooni pale Machame, ukirudi akili zako zitatulia!
 
Nape uspende kutaja kabira yako. Inamanisha
ww nimkabira sana. Sio utamaduni wetu tz.
 
You dont know me man

You dont know me.

Dont you act like you know

Sikuwahi kuwa mshabiki wa lowasa up to this very moment...

Lakin kwa madudu ya Juma Poor Manager its better lowasa angekuwa na managerial skills za kueleweka kuliko huyu.

After all mbona unaonekana kama umerukwa na akili?

Kama una akili timamu wewe utawezaje kumshangilia bashite?

Umekuwa Jackline wolper au?

kweli kabisa, inawezekana sina akili

ila jua kila kitu kina pande mbili
 
Back
Top Bottom