Poleni sana mission failed.Nilimkubali Lissu aliyekuwa anafanya kazi chini ya Dr. Slaa, sio huyu wa sasa anakula chochote mpaka kinyesi chake!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poleni sana mission failed.Nilimkubali Lissu aliyekuwa anafanya kazi chini ya Dr. Slaa, sio huyu wa sasa anakula chochote mpaka kinyesi chake!
KIHAVA-maelezo yako kinyume chake ndiyo sahihi-Nafikiri hili lilipangwa. Kwamba lifanyike wakati mzee anapokea na kuhutubia kuhusu wizi wa Almas na Tanzanite ili vyombo vya habari na watu waelekeze akili na fahamu zao kwa anachofanya mzee kwa watuhumiwa wa wezi wa madini hayo na siyo kwa alichofanyiwa TL. Bahati mbaya mpango wao umebuma, maana vyombo vya habari na watu walielekeza akili na fahamu zao kwa alichofanyiwa huyu TL na hawakuwa na muda tena, nikiwemo mimi, wakuangalia 'maigizo' yao. Kilichotuudhi wengi ni ile pole yake ya kinafiki. Halafu chama chake na Hamphrey wake walikuwa wameshaandaa hata barua ya Tamko mapema tangu mwezi uliopita, Mungu kawaumbua. Wakati Hamphrey anatutaarifu kuwa yupo Namibia ghafla anaonekana anasaini barua Lumumba.
AMREF Flying doctors, mkuu!Naombeni kujua hawa madaktari wasio na mipaka ni wa aina gani kwa mwenye kujua afanye kuelezea hapa wakuu
Kwani wa Dr Steven Ulimboka aliishia wapi vile?Giza likizidi sana nuru ipo jirani! Watafahamika tu kwa uwezo uleule uliomwokoa! Msisahau hakuna siri chini ya mbingu na damu ya asiye na hatia humlilia aliyeimwaga daima na kumwandama yeye na uzao wake daima. Tubuni ili mpate kusamehewa!
Watanzania bhana...
Kila mtu kwa sasa ni rafiki wa Tundu Lissu!
Haya nimeona...
Balozi huko Canada.
Watanzania bhana...
Kila mtu kwa sasa ni rafiki wa Tundu Lissu!