even if you say nothing they will criticize you as "why you say nothing",if you do nothing then they will say "why you do nothing"and if you are nothing then they will ask as "why you are nothing"if you don't want to be criticized; say nothing, do nothing and be nothing!
JF ni genge la vilaza wanafiki na wenye vivu wa kike, ambao mara zote hujadili watu badala ya hoja, uko sawa Nape lakini usikate tamaa mkuu.
Aji define upya na mambo yake yakuwafanya wa TZ wajinga
WAUNGWANA HABARI ZA ASUBUHI
KATIBU WA ITIKADI NA UENEZI WA CHAMA CHA MAPINDUZI(CCM) MHESHIMIWA NAPE NNAUYE AMELALAMIKIA TABIA YA WANA JAMII FORUMS KUMKEJELI NA KUMTUKANA MATUSI,ANASEMA HAWEZI KUKAA KIMYA KUVUMILIA KEJELI NA MATUSI AMBAYO WANA JAMII FORUMS MNAMTUPIA,,NANUKUU MAJIBU YA MHESHIMIWA NAPE KWA WANA JF
Nape Nnauye
Nimesoma sana kejeli zilizoko Jf kwa ajili yangu, ipo siku giza na nuru vitajitenga mseme pia msiidhie hapo tu.....(SOURCE FACEBOOK-WALL POST YA NDUGU NAPE NNAUYE)
WAUNGWANA HABARI ZA ASUBUHI
KATIBU WA ITIKADI NA UENEZI WA CHAMA CHA MAPINDUZI(CCM) MHESHIMIWA NAPE NNAUYE AMELALAMIKIA TABIA YA WANA JAMII FORUMS KUMKEJELI NA KUMTUKANA MATUSI,ANASEMA HAWEZI KUKAA KIMYA KUVUMILIA KEJELI NA MATUSI AMBAYO WANA JAMII FORUMS MNAMTUPIA,,NANUKUU MAJIBU YA MHESHIMIWA NAPE KWA WANA JF
Nape Nnauye
Nimesoma sana kejeli zilizoko Jf kwa ajili yangu, ipo siku giza na nuru vitajitenga mseme pia msiidhie hapo tu.....(SOURCE FACEBOOK-WALL POST YA NDUGU NAPE NNAUYE)