emmanuel mruma
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 1,781
- 1,718
Ila hio sheria ya kipuuzi sana kwani tume ikiwa inaona na inawambia wagombea wafanye masahihisho wanakufa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi ndio sheria za ma-CCM!!Hilo mbona kosa dogo sana...si ni kuwasahihisha tu...
Tunduma kinaendelea nini saizi?Yana mwisho haya. Tunduma wameamua huko leo. Ukara waliamua juzi!!! Tushasema uonevu sasa baaasi!!!
Hujasikia????Tunduma kinaendelea nini saizi?
Unawaza kwa kutumia nini bwana mjingamimi?
Kila mtu ni mpinzani kwa mwenzie pengine anamaanisha ccmUnawaza kwa kutumia nini bwana mjingamimi?
Itakua lile shimo alilolitamka TrumpUnawaza kwa kutumia nini bwana mjingamimi?
Huyo ni kindaki ndakiKila mtu ni mpinzani kwa mwenzie pengine anamaanisha ccm
Jr
Yawezekana lakini wapo pia wapinzani wafanya biashara, kwa makusudi wanajaza form vibaya.Kumbe wanalazimishwa kupita bila kupingwa ili wamsaidie mwenyekiti kampeni, hapo nimeelewa, jamaa wana mbinu za kishamba sana, wacha mwenyekiti apambane kivyake na nyie pambaneni kivyenu.
Unawaza kwa kutumia nini bwana mjingamimi?
Unawaza kwa kutumia nini bwana mjingamimi?