Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,125
- 8,231
Kanywe chai kwanza...au bado hujapewa coupon hapo canteen Lumumba?
Kanywe chai kwanza...au bado hujapewa coupon hapo canteen Lumumba?
Kanywe chai kwanza...au bado hujapewa coupon hapo canteen Lumumba?
Ujambszi umefanyikaKwa mtama ccm na tume ni zaidi ya kituko
Tupe dawa tumnyooshe.Kuna lishetani limetufikisha hapa!
Mnapoteza muda, sheria ikichukua mkono wake ushindi wote huo unapanguliwaNajua itakuwa ngumu kuamini ila ndo ukweli.
Wakati ninyi mnapiga kelele humu wenzenu wanapanga mipango ya kuchukua majimbo.
Wana kaa na NEC wanapanga sheria zao wanazo jua wao.mwisho wa siku wanachukua majimbo KIULAINI
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Hii hapa he?Wenzio hata uchaguzi haujaanza wameshachukua majimbo.
Au hauoni?
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Hii hapa he?
Mnapoteza muda, sheria ikichukua mkono wake ushindi wote huo unapanguliwa
Wananchi wa Mtama walikua tayari kukinukisha kupinga uteuzi wa Nape kuwa mbunge wao pasi kumpigia kura. Busara za viongozi zilitumika kuwahakikishia wananchi haki itatendeka na waende nyumbani kwa amani.
CCM mnajizidi kujidhalilisha kwa haya mnayofanya. Tunafahamu kuwa ilikuwa ni lazima Nape, Majaliwa, Kabudi na wengine wapi te bila kupingwa ili wapate muda wa kumsaidia mwenyekiti kampeni bila kuwa na mzigo wa kampeni zao binafsi.
View attachment 1549263
Tupu zenu ziko hadharini.
NEC na CCM lao moja?? Duh sijawahi kusikia hili, basi sawa
Hii hapa he?
NEC na CCM lao moja?? Duh sijawahi kusikia hili, basi sawa
Hahahaha aaghh wapiKama haujui pole sana.
Ndo maana ccm wamepata wabunge hata kabla ya uchaguzi
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Usiku haubaki usiku siku zote huwa kunapambazukaHyo kesi ya NYANI unampelekea ngedere.
"TUME HURU NDO MSAADA WENU "
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app