Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 20,116
- 49,632
Labda mahusiano tu kwingineko napitaga km msomaji na Mara chache kucommenthahaha wewe kwako celebrity !huku chadema damu na ccm damu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda mahusiano tu kwingineko napitaga km msomaji na Mara chache kucommenthahaha wewe kwako celebrity !huku chadema damu na ccm damu!
Hata picha zile Nape ktk tweets zake ukiwa Waziri haruhusiwi auUkishakuwa kuwa Waziri unaapa kuitetea serikali ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania..kwa maana nyingine failure na success zote mnazibeba kwa pamoja kama serikali hata kama hupendezwi kwa kuwa Waziri ana nafasi ya kushiriki kikao cha baraza la mawaziri pamoja na Rais na kutoa ushauri na moyoni. Ukikosoa maana yake unapoteza sifa ya kuwa Waziri (ila sio kwa haya mambo ya kijamii bali yale yote yanayohusu msimamo wa serikali katika utendaji wake)
basi mie humu ndo nakupendaga aisee!yaan fanya uwezayo mie napenda siasa !lol mmu nakuja tu coz ya vistress vya hapa na pale!
Nashangaa kukuona hukuLabda mahusiano tu kwingineko napitaga km msomaji na Mara chache kucomment
Lowassa hajachafuliwa na anakubalika sana tu basi matokeo hayakuwa mazuri
Nimekuja kumsalimia sister wangu wa hiari mbitiyazaNashangaa kukuona huku
Haya rudi jukwaa pendwaNimekuja kumsalimia sister wangu wa hiari mbitiyaza
Haya rudi jukwaa pendwa
Ndio ujue "Unafiki Hauuzwi"Huwa najaribu kuzisoma tweets za Mh Nape Nnauye zinagusa sana maisha ya Mtanzania halisi haswa yule wa chini kabisa ambaye kiukweli huyo ndiye anayejua shida za Tanzania wengine huwa tunaogopa tu shida lakini kuna wenye shida hasa.
Sasa hizi tweets za huyu Mheshimiwa sana angezitoa wakati ule ni Waziri akitumia V8 kwa usafiri wa kila siku hakika jina lake lingekuwa kubwa sana na kutamalaki kila kona ya nchi hii.
Mwosha huoshwa....nape mnafiki wa kulipwa. Huyu si alisema ccm ingeshinda hata kwa bao la mkono? Akasema chadema ni mafisi... Ha ha ha... Leo hii anaonekana shujaa kwa baadhi ya watu.huyu hata jimboni mwake aliiba kura. Amepigwa bao naye kama ambavyo aliwapiga bao wenzake. Ukipiga bao utapigwa bao....
Hata kitwanga aliziponda bombardier baada ya kutumbuliwa
Vitu vingine sio kwamba anazuiwa (si unajua siasa zetu za bongo za kiunafiki sometime unakuta mtu anajitoa akili ili mambo yake yaende), kuna mambo ambayo yanahusiana na msimamo na maamuzi ya serikali hayo ndio ukiwa waziri ndo huruhusiwi yaana serikali imeamua kufanya jambo flani ila kwa wananchi linaonekana sio jambo jema alafu unakuwa upande wa wananchi kuilaumu serikali wakati na wewe ni sehemu ya serikaliHata picha zile Nape ktk tweets zake ukiwa Waziri haruhusiwi au