Nape Nnauye angezitoa tweets zake za sasa alipokuwa Waziri jina lake lingekuwa kubwa sana Tanzania

njaa njaa njaa kwa nape,hakuna MTU mwenye roho ya kupenda madaraka sana kama nape
 
Ukishakuwa kuwa Waziri unaapa kuitetea serikali ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania..kwa maana nyingine failure na success zote mnazibeba kwa pamoja kama serikali hata kama hupendezwi kwa kuwa Waziri ana nafasi ya kushiriki kikao cha baraza la mawaziri pamoja na Rais na kutoa ushauri na moyoni. Ukikosoa maana yake unapoteza sifa ya kuwa Waziri (ila sio kwa haya mambo ya kijamii bali yale yote yanayohusu msimamo wa serikali katika utendaji wake)
Hata picha zile Nape ktk tweets zake ukiwa Waziri haruhusiwi au
 
nape mnafiki wa kulipwa. Huyu si alisema ccm ingeshinda hata kwa bao la mkono? Akasema chadema ni mafisi... Ha ha ha... Leo hii anaonekana shujaa kwa baadhi ya watu.huyu hata jimboni mwake aliiba kura. Amepigwa bao naye kama ambavyo aliwapiga bao wenzake. Ukipiga bao utapigwa bao....
 
Katika forums zenye ukichaa ni hizi za siasa.... Asilimia 95 ya wanasiasa wetu ni mwezi mchanga. Sisi wenye akili tulishachoka tumeamua kuacha akili zetu zifanye kazi nyingne. Asilimia 80 ya wapiga kura ni vilaza.

basi mie humu ndo nakupendaga aisee!yaan fanya uwezayo mie napenda siasa !lol mmu nakuja tu coz ya vistress vya hapa na pale!
 
Huwa najaribu kuzisoma tweets za Mh Nape Nnauye zinagusa sana maisha ya Mtanzania halisi haswa yule wa chini kabisa ambaye kiukweli huyo ndiye anayejua shida za Tanzania wengine huwa tunaogopa tu shida lakini kuna wenye shida hasa.

Sasa hizi tweets za huyu Mheshimiwa sana angezitoa wakati ule ni Waziri akitumia V8 kwa usafiri wa kila siku hakika jina lake lingekuwa kubwa sana na kutamalaki kila kona ya nchi hii.
Ndio ujue "Unafiki Hauuzwi"
 
nape mnafiki wa kulipwa. Huyu si alisema ccm ingeshinda hata kwa bao la mkono? Akasema chadema ni mafisi... Ha ha ha... Leo hii anaonekana shujaa kwa baadhi ya watu.huyu hata jimboni mwake aliiba kura. Amepigwa bao naye kama ambavyo aliwapiga bao wenzake. Ukipiga bao utapigwa bao....
Mwosha huoshwa....
 
Mungu huwapitisha watu katika kipindi kigumu ili kujifunza kuwa duniani mambo Ubadilika kusudi la Mungu nape kusimama na watanzania wa hali ya chini
 
Mungu huwapitisha watu katika kipindi kigumu ili kujifunza kuwa duniani mambo Ubadilika kusudi la Mungu nape kusimama na watanzania wa hali ya chini
Ni kweli kabisa. Kila kitu na wakati wake.
 
Hata picha zile Nape ktk tweets zake ukiwa Waziri haruhusiwi au
Vitu vingine sio kwamba anazuiwa (si unajua siasa zetu za bongo za kiunafiki sometime unakuta mtu anajitoa akili ili mambo yake yaende), kuna mambo ambayo yanahusiana na msimamo na maamuzi ya serikali hayo ndio ukiwa waziri ndo huruhusiwi yaana serikali imeamua kufanya jambo flani ila kwa wananchi linaonekana sio jambo jema alafu unakuwa upande wa wananchi kuilaumu serikali wakati na wewe ni sehemu ya serikali
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom