Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 1,694
- 3,981
Nape Nnauye yeye kama yeye hana madhara ila wanaomtumia ndo humfanya aonekane ana madhara. Ni mengi yametokea mpaka yeye kurudi kupiga magoti kwa mh rais.
Nape alikuwepo pia kwenye shughuli za Mh Rais huko Mtwara. Rais wetu ametoka huko na kwenda mapumzikoni. Nape bila shaka anashukuru jinsi alivyoweza fanya kazi yake na kusifiwa na Mh. Rais.
Watu wa Pwani....usiwaamini sana.unaweza ukacheka naye hivi moyoni anakuchukia sana.anaweza hata kukulamba miguu lakini ..... Wanasema. "mtumikie kafiri upate ujira wako" na pia "baniani mbaya kiatu chake dawa"
Nape Nnauye. Tutaendelea kufahamishana.
Nape alikuwepo pia kwenye shughuli za Mh Rais huko Mtwara. Rais wetu ametoka huko na kwenda mapumzikoni. Nape bila shaka anashukuru jinsi alivyoweza fanya kazi yake na kusifiwa na Mh. Rais.
Watu wa Pwani....usiwaamini sana.unaweza ukacheka naye hivi moyoni anakuchukia sana.anaweza hata kukulamba miguu lakini ..... Wanasema. "mtumikie kafiri upate ujira wako" na pia "baniani mbaya kiatu chake dawa"
Nape Nnauye. Tutaendelea kufahamishana.