Nape Nnauye amjibu Mangula, ni Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo

Kaka toa maoni kutokana na hoja ya nappe mbona tunapenda majungu sio poa. Nape katoa mawazo yake toa na wewe yakwako. Tabia ya usaka fursa ipo miaka mingi hata ingekuwa wewe
Mim sio mfuasi wahawa wachawi wakijani Ila alichoobgea nape kuhusu mada husika nifact tupu.
 
Nape atulie, hana hadhi wala sifa za kuhoji hoja za mwenyekiti wake.

Nape ameshajulikana ni mtu anaetawaliwa na njaa kuliko kitu chochote. Sasa anajaribu kujionyesha kwa samia ili angalau akumbukwe.

Makamu Mwenyekiti amesema Bagamoyo haikuahidiwa Bandari, iliahidiwa gati, shida iko wapi?
Ccm Mangula peke yake ndiye aliyebaki na akiba ya akili
 
Hawa vijana wasioweza kulitumikia taifa mpaka wawe mawaziri hawafai, wanajiona bora zaidi ya wengine, uongozi wa serikalini usitafutwe kwa kelele nyingi za mitandaoni, uadilifu wa mtu na uchapakazi wake ndio uwe vigezo.
Amesahau alipotembea toka lango la Ikulu mpaka kwa mkulu miwani akiiona mizito. Bangladeshi
 
Nape atulie, hana hadhi wala sifa za kuhoji hoja za mwenyekiti wake.

Nape ameshajulikana ni mtu anaetawaliwa na njaa kuliko kitu chochote. Sasa anajaribu kujionyesha kwa samia ili angalau akumbukwe.

Makamu Mwenyekiti amesema Bagamoyo haikuahidiwa Bandari, iliahidiwa gati, shida iko wapi?
Ni kweli lakini alichokisema Nape kipo sawa, tumjibu tu kwa màmlaka gani hizo project zilitekelezwa wakati wa awamu ya tano bila kuwa katika ilani ya CCM ya uchaguzi? Na kwa nini hii project ya sasa ilete sintofahamu.

Kosa halifanyi uhalali wa kosa jingine kuwa sawa ila tumjibu bila kumbeza, ana hoja ya msingi sana.
 
Salaam Wakuu,

Baada ya Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Philip Mangula kuzungumzia Bandari ya Bagamoyo kwamba haipo kwenye ilani, Mbunge wa Mtama Moses Nnauye(CCM) ameibuka na kusema kwamba kuna miladi mingi imetekelezwa ambago haikuwa kwenye ilani.

Mangula alisema anashangaa huu mjadala wa Bandari ya Bagamoyo unatokea wapi kwa kuwa mradi huo haupo. Mangula kasema hakuna haja ya watu kupotosha wananchi,” Mangula akizungumza na Gazeti la Uhuru ameeleza kwamba kilichoahidiwa ni ujenzi wa gati ya Bagamoyo.

“Ipo miradi ya maboresho ya bandari, lakini kwa upande wa Bagamoyo kilichopitishwa ni ujenzi wa gati, sio bandari,” amesema Mangula.

Baada ya kauli hiyo, Moses Nape Nnauye ikamlizimu aandike kwenye Mtandao wa kijamii kwamba sio kila miradi inayotekelezwa ipo kwenye ilani.

Nape kaandika hivi:


Nini Mtazamo wako wewe MwanaJF? Kwamba Serikali itekeleze yaliyopo kwenye ilani tu au iangalia vipaumbele vya wananchi?

Pia soma: Makamu mwenyekiti CCM, Mzee Mangula: Bagamoyo tuliahidi kujenga gati sio Bandari
Nape amekuwa amechanganyiliwa tangu alipotumbuliwa uwaziri.hivi unawezake kuanzisha kitu ambacho hukukipanga na wala hakipo kwenye bajeti.ni kweli kuna miradi mingi ilitekelezwa bila kupangwa lkn hii sio sahihi na ndo maana humu ndani wengi tulichalenji sana kama vile mamiradi ya kununua madege nk.Mangula yuko sawa mamiradi mengi sasa hivi yamestaki kwa nn uanzishe mengine.wakamilishe kwanza yaliyopo.hiyo bandari ina umuhimu gani kwa sasa kama sio siasa uchwara tu.barabara za kwenda kigoma mpaka sasa ni vumbi pia katavi tabora ni vumbi,barabara za kigoma dar bado hazijakamilika halafu unaibua mamiradi mengine ya nini?sasa hivi sukari tu ni issue,maji ni shida,umeme ni balaa halafu watatuletea hadithi ya bandari ya bagamoyo.kuna nini huko bagamoyo?
 
Salaam Wakuu,

Baada ya Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Philip Mangula kuzungumzia Bandari ya Bagamoyo kwamba haipo kwenye ilani, Mbunge wa Mtama Moses Nnauye(CCM) ameibuka na kusema kwamba kuna miladi mingi imetekelezwa ambago haikuwa kwenye ilani.

Mangula alisema anashangaa huu mjadala wa Bandari ya Bagamoyo unatokea wapi kwa kuwa mradi huo haupo. Mangula kasema hakuna haja ya watu kupotosha wananchi,” Mangula akizungumza na Gazeti la Uhuru ameeleza kwamba kilichoahidiwa ni ujenzi wa gati ya Bagamoyo.

“Ipo miradi ya maboresho ya bandari, lakini kwa upande wa Bagamoyo kilichopitishwa ni ujenzi wa gati, sio bandari,” amesema Mangula.

Baada ya kauli hiyo, Moses Nape Nnauye ikamlizimu aandike kwenye Mtandao wa kijamii kwamba sio kila miradi inayotekelezwa ipo kwenye ilani.

Nape kaandika hivi:


Nini Mtazamo wako wewe MwanaJF? Kwamba Serikali itekeleze yaliyopo kwenye ilani tu au iangalia vipaumbele vya wananchi?

Pia soma: Makamu mwenyekiti CCM, Mzee Mangula: Bagamoyo tuliahidi kujenga gati sio Bandari
Wote wanapigania maslahi yao binafsi
 
Salaam Wakuu,

Baada ya Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Philip Mangula kuzungumzia Bandari ya Bagamoyo kwamba haipo kwenye ilani, Mbunge wa Mtama Moses Nnauye(CCM) ameibuka na kusema kwamba kuna miladi mingi imetekelezwa ambago haikuwa kwenye ilani.

Mangula alisema anashangaa huu mjadala wa Bandari ya Bagamoyo unatokea wapi kwa kuwa mradi huo haupo. Mangula kasema hakuna haja ya watu kupotosha wananchi,” Mangula akizungumza na Gazeti la Uhuru ameeleza kwamba kilichoahidiwa ni ujenzi wa gati ya Bagamoyo.

“Ipo miradi ya maboresho ya bandari, lakini kwa upande wa Bagamoyo kilichopitishwa ni ujenzi wa gati, sio bandari,” amesema Mangula.

Baada ya kauli hiyo, Moses Nape Nnauye ikamlizimu aandike kwenye Mtandao wa kijamii kwamba sio kila miradi inayotekelezwa ipo kwenye ilani.

Nape kaandika hivi:


Nini Mtazamo wako wewe MwanaJF? Kwamba Serikali itekeleze yaliyopo kwenye ilani tu au iangalia vipaumbele vya wananchi?

Pia soma: Makamu mwenyekiti CCM, Mzee Mangula: Bagamoyo tuliahidi kujenga gati sio Bandari
Mangula aache ujinga
 
Hawa vijana wasioweza kulitumikia taifa mpaka wawe mawaziri hawafai, wanajiona bora zaidi ya wengine, uongozi wa serikalini usitafutwe kwa kelele nyingi za mitandaoni, uadilifu wa mtu na uchapakazi wake ndio uwe vigezo.
Hoja ya kijinga toka kwenye ubongo mdogo Kama uduvi
 
Na makamu mwenyekiti anapata wapi nguvu ya kumpinga mwenyekiti? Nape yuko sawa sera ni elekezi tu huwezi kuwa na sera ya miaka 5 halafu usibadilike dunia inaenda kasi sana sasa utakaa vipi na mawazo kwa miaka 5 serikali inaendeshwa kila mwaka na inaweka budget kwa mwaka.

Huyu makamu mwenyekiti ni nyoka katoka kwenye pango Mama anatakiwa kupiga rungu kichwa ndio hawa walikuwa nyuma ya ile story Mama hagombei tena kwenye gazeti la chama sasa kajitokeza.

Toka lini ukampinga mwenyekiti wako hadharani? utamaduni wa CCM haya mambo ndani ya vikao. Mwanga kawanga mchana kaonekana Mama piga rungu haraka huyo mzee mchawi.
Unaamini Mangula hatakiwi kumpinga mama Samia, Ila hapohapo unakubaliana na nape kumpinga mangula
 
Hawa vijana wasioweza kulitumikia taifa mpaka wawe mawaziri hawafai, wanajiona bora zaidi ya wengine, uongozi wa serikalini usitafutwe kwa kelele nyingi za mitandaoni, uadilifu wa mtu na uchapakazi wake ndio uwe vigezo.
Ni kweli kabisa, kingine kuzaliwa kwenye familia za viongozi wa kisiasa wanajiona ni watu muhimu Sana ni lazima waongoze tu,kumbe njaa ya madaraka.
 
Back
Top Bottom