Mama kazidi upole naomba apite hapa asome. Mama safisha ndani ya chama kuna wachawi wengi wapinzani sio tishio kwako humo ndani ya jumba kuna wanga.Mzee Mangula hawezi kuwa dira kwa miaka yote.
He is a dinasour kwa sasa.
Mama aachiwe apige kazi, na na muda muafaka sasa kuisafisha CCM.
Wakati wa Mwalimu kulikuwa na sera ya KUNG'ATUKA, mzee Mangula anashauriwa aisime vizuri sera hiyo na aende na wakati.