britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Mbunge wa Mtama Nape Nnauye ameyasema hayo kwa kukiri kupata mawaidha safi kutoka kwa mbunge wa zamani wa Mtama,
Kutokana na ustaarabu wa mzee Membe na akili ya kupambanua mambo bila kukurupuka,
Sasa wasiolewa watautafsiri ujumbe huu visivyo, mtu kapata mawaidha kwa mtu mwingine inakuuma nini, go go Nauye
Kwenye tweet hii hapo chini akiwa na mzee miongoni mwa wazee wa Busara wa Mtama
Kutokana na ustaarabu wa mzee Membe na akili ya kupambanua mambo bila kukurupuka,
Sasa wasiolewa watautafsiri ujumbe huu visivyo, mtu kapata mawaidha kwa mtu mwingine inakuuma nini, go go Nauye
Kwenye tweet hii hapo chini akiwa na mzee miongoni mwa wazee wa Busara wa Mtama