MwanaDiwani
JF-Expert Member
- Mar 22, 2013
- 5,536
- 2,264
Katika hotuba hiyo amewataka wananchi wajitokeze kwa wingi kwenda kupiga kura na waondokane na hofu yoyote kwa vile usalama umeimarishwa vya kutosha.
Nape amewaomba wananchi wazitumie vizuri haki zao za msingi za kupiga kura kumchagua mgombea wa CCM ambaye chama chake kilipewa majukumu ya kuongoza nchi na wananchi walio wengi katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 kutokana na ilani yake nzuri na inayotekelezeka ambayo mambo yaliyopo ndani ya ilani ya Chama Cha Mapinduzi ni pamoja na kutatua matatizo ya wana Kimandolu kama serikali inavyofanya.
Nape aliwakumbusha wananchi kuwa kinachotekelezwa kwa sasa nchini ni ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 kupitia serikali yake na wasikubali kudanganywa na wagombea wa vyama vingine kama hao wagombea na vyama vyao watawaletea maendeleo.
Maendeleo katika kata ya Kimandolu yataletwa na CCM kupitia ilani yake na si vinginevyo.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye ,akiwa kwenye mkutano wa hadhara wa kumnadi mgombea wa kiti cha udiwani cha kata ya Kimandolu,Arusha.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa kata ya Kimandolu wakati wa kampeni za udiwani .
Mgombea wa kiti cha udiwani, Ndugu Edna Jonathan Sauli akisalimia wakazi wa kata ya Kimandolu wakati wa kampeni za udiwani.
Nape amewaomba wananchi wazitumie vizuri haki zao za msingi za kupiga kura kumchagua mgombea wa CCM ambaye chama chake kilipewa majukumu ya kuongoza nchi na wananchi walio wengi katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 kutokana na ilani yake nzuri na inayotekelezeka ambayo mambo yaliyopo ndani ya ilani ya Chama Cha Mapinduzi ni pamoja na kutatua matatizo ya wana Kimandolu kama serikali inavyofanya.
Nape aliwakumbusha wananchi kuwa kinachotekelezwa kwa sasa nchini ni ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 kupitia serikali yake na wasikubali kudanganywa na wagombea wa vyama vingine kama hao wagombea na vyama vyao watawaletea maendeleo.
Maendeleo katika kata ya Kimandolu yataletwa na CCM kupitia ilani yake na si vinginevyo.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye ,akiwa kwenye mkutano wa hadhara wa kumnadi mgombea wa kiti cha udiwani cha kata ya Kimandolu,Arusha.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa kata ya Kimandolu wakati wa kampeni za udiwani .
Mgombea wa kiti cha udiwani, Ndugu Edna Jonathan Sauli akisalimia wakazi wa kata ya Kimandolu wakati wa kampeni za udiwani.