Nape Nnauye ajiuzulu Uenyekiti wa Kamati ya Maliasili na Utalii

Kama ni kweli anatakiwa afukuzwe kabisa kwenye chama
Ardhi ni mali ya Jamhuri ya muungano,sheria ipo wazi ukimilikishwa unatakiwa kuendeleza ndani ya muda fulani
Watu wamepewa malaki ya ekari,ili walime na kutoa ajira,matokeo yake wamekopa benki za nje huku wameacha mapori na wananchi hawaruhusiwi kulima
 
Back
Top Bottom