Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
- Thread starter
- #21
Majuto ni mjukuu
Majuto ni mjukuu
Mngesubiri taarifa iwekwe mezani ijadiliwe tuone hao wawekezaji hewa kupitia michango ya kina kibajaji na msukuma. kwanini mmemtuma Bashiru ampige mkwara???Kwa hiyo kawa mtetezi wa wawekezaji hewa?
Na la goli la mkonoKwa asili watu wa Singida ni wapambanaji, Nape pambana utakumbukwa kwa mazuri.
Unaweza kusamehewa kosa la Bunge live.
Mh!! Mmakonde mwenye asili ya Singida sio?Kwa asili watu wa Singida ni wapambanaji, Nape pambana utakumbukwa kwa mazuri.
Unaweza kusamehewa kosa la Bunge live.
Kilaza huyo achana naye
Napeegwa ndio jina lake, Nnauye ni la baba yake!
Serikali ni manunuzi hewa!Kwa hiyo kawa mtetezi wa wawekezaji hewa?