Umnunue Nape kwa lipi?
Hata wa bure hafai. The guy is exactly liability than an asset, no one would dare to have him in his portfolio
Umnunue Nape kwa lipi?
Hivi huyo Lowassa ana pesa kiasi gani hadi adaiwe kutaka au kuwanunua watu wote hao?
All stones must be turned, ni muhimu haya mambo yakawekwa wazi ili kizazi hiki na kijacho kiwe makini katika kuwapima wanaotaka uraisi wa nchi yetu
alihangaika sanaaNAPE 'MBARONI': Takukuru yamshikilia Katibu Mwenezi CCM Nape Nnauye, yamhoji kwa saa 5 Lindi, adaiwa kutaka kuwahonga wajumbe Mtama, anakoomba kugombea ubunge.
Chanzo: Mwananchi
UPDATE:
USAHIHI
Kamanda wa Takukuru Lindi, S. Chami afafanua kuwa walimhoji Nape Nnauye, yabainika fedha alizochukua benki zilikuwa ni kwa ajili ya mawakala.