Informer
JF-Expert Member
- Jul 29, 2006
- 1,582
- 6,627
NAPE 'MBARONI': Takukuru yamshikilia Katibu Mwenezi CCM Nape Nnauye, yamhoji kwa saa 5 Lindi, adaiwa kutaka kuwahonga wajumbe Mtama, anakoomba kugombea ubunge.
Chanzo: Mwananchi
UPDATE:
USAHIHI
Kamanda wa Takukuru Lindi, S. Chami afafanua kuwa walimhoji Nape Nnauye, yabainika fedha alizochukua benki zilikuwa ni kwa ajili ya mawakala.
Chanzo: Mwananchi
UPDATE:
USAHIHI
Kamanda wa Takukuru Lindi, S. Chami afafanua kuwa walimhoji Nape Nnauye, yabainika fedha alizochukua benki zilikuwa ni kwa ajili ya mawakala.