nizakale
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,029
- 2,902
Ana degree ?
Kwa kuwa siasa ni mchezo usiotabirika, kadhalika anaeweza kuimudu ni yule mwenye uwezo mkubwa wa kusoma alama za nyakati. Alifanya kosa kidogo kwa kuchelewa kumsoma bosi wake wa awali ila amecheza karata vizuri ambapo kwa sasa ameanza kuteka mioyo ya makundi mbalimbali ndani na nje ya chama.
Ukimlinganisha na wanasiasa wengine tangu CCM mpaka upinzani sioni wa kumshinda.
Tumuombee uzima na afya tele.