Taarifa ITV muda huu namwona Nape anadai nchi hii ina wenyewe na wenyewe ni chama cha mapinduzi! Hivi huyu mtu ana akili kweli? Ina maana wote wasio katika CCM hawana haki na hii nchi?
Nchi hii ina wenyewe na wenyewe ni sisi Watanzania, sio CCM, CDM wala CUF wala CCK.
Viongozi wa CCM huwa wananishangaza sana wanapodai wenye nchi ni CCM pekee. Kwa CCM kujimilikisha hakimiliki ya nchi yetu ni wazi hawatutakii mema.
Taarifa ITV muda huu namwona Nape anadai nchi hii ina wenyewe na wenyewe ni chama cha mapinduzi! Hivi huyu mtu ana akili kweli? Ina maana wote wasio katika CCM hawana haki na hii nchi?
Nchi hii ina wenyewe na wenyewe ni sisi Watanzania, sio CCM, CDM wala CUF wala CCK.
Viongozi wa CCM huwa wananishangaza sana wanapodai wenye nchi ni CCM pekee. Kwa CCM kujimilikisha hakimiliki ya nchi yetu ni wazi hawatutakii mema.
Katika mazingira kama haya mtu huwezi kuwa na shaka na uwezo na uelewa wa nape kwamba kiko chini sana tena below minimum.
Kama ccm inakadiriwa kuwa na wanachama milioni tano miongoni mwa watanzania wanaokadiriwa kuwa zaidi ya milioni arobaini, mtu mwenye uelewa wa kawaida hawezi kusema 12% ya watanzania ndio wenye nchi, huo utakuwa ni upuuzi mkubwa.
Taarifa ITV muda huu namwona Nape anadai nchi hii ina wenyewe na wenyewe ni chama cha mapinduzi! Hivi huyu mtu ana akili kweli? Ina maana wote wasio katika CCM hawana haki na hii nchi?