Nape na Waraka wa Kuituhumu CDM

mashikolomageni

JF-Expert Member
Jan 5, 2010
1,570
187
Hii nimekutana nayo FB ikanistua sana nimeona niilete hapa kwa great thinkers tuijadili na mwenye habari zaidi atupashe I

[h=6]York David Drexell

ANGALIZO HATARI KWA WATANZANIA WOTE POPOTE PALE WALIPO;

Watanzania wote kwa ujumla wetu, wakubwa kwa wadogo, wanaharakati, asasi binafsi na za uuma, viongozi wa dini nk. yatupasa kuamka na kutambua nini kinachoendelea ndani ya nchi ya Tanzania na kukemea kama sio kulaani mbele ya Muumba wetu harakati hizi za umauti:

Mh. Nape Nnauye kada maarufu wa Chama Cha Mapinduzi "CCM" ni binadamu hatari sana, sio tu kwa amani ya nchi ya ...Tanzania halikadhalika kwa jumuiya nzima ya kimataifa kwa vizazi hata vizazi.

Upo waraka umekamatwa leo hii na taasisi moja binafsi hapa nchini ulioandaliwa na kusainiwa na kada tajwa hapo juu, aliouandaa na kuusambaza kwa wajumbe wa kamati kuu ya ccm (Nec) kupitia moja ya vikao vyake ukiwaamuru kwa makusudi kabisa wajumbe hao wa kamati tajwa kukihujumu Chama cha Demokrasia na Maendeleo "CHADEMA", kwa kuhakikisha kwamba kinapoteza uaminifu, utashi na kukubalika mbele ya jamii kwa kutekeleza yafuatayo;

1. Kuandaa nyaraka feki zitakazouaminisha umma kwamba cdm ni chama cha kidini na ukabila kadiri itakavyowezekana.

2. Kuandaa nyaraka zitakazo uaminisha umma kwamba, cdm kipo kwenye mpango wa makusudi kabisa kuhakikisha wanatekeleza uhaini ndani ya nchi kwa kutumia mamluki (waasi) toka jamuhuri ya kidemokrasia ya watu wa Congo.

3. Kuandaa taarifa feki zitakazouaminisha umma kwamba, cdm ndicho chama kinachoratibu na kutekeleza mauaji ya raia wasiokuwa na hatia yanayoendelea hapa nchini.

4. Kuwahujumu viongozi wa cdm kwa kuwabambikizia kasha mbalimbali nzito hasa za kukutwa na madawa yakulevya hali kadhalika kuwa na uhusiano na makundi ya kigaidi duniani yanayoongozwa na Al-qaeda.

5. Kutengeneza nyaraka feki ambazo zitauaminisha umma na ulimwengu kwa ujumla kwamba, cdm kipo na mpango wa makusudi kabisa kuhakikisha Tanzania inajiondoa kwenye jumuiya ya umoja wa mataifa "UN" kwa kuafikiana na itikadi za kikundi cha kigaidi cha Al-qaeda na washirika wake kwa kutumia vivuli vya viongozi wake wa juu.

Source: Wajumbe ndani kamati kuu ya Chama Cha Mapinduzi wenye uchungu na nchi yao waliojawa na hofu ya Mwenyezi Mungu.
[/h]
 
Magamba in action! Kuweni na subira tu watanzania wenzangu tutasikia mengi sasa hivi maana watu wakiishiwa sera na mvuto ukapauka ujue wanaweza hata kusema "Slaa anatembea na mke wangu" na vilaza wenzie wakajitokeza kuandamana kuunga mkono! This is only the beginning, there is much more coming!
 
It will take a tommyrottish credulous clown to take this story seriously.
 
Hii nimekutana nayo FB ikanistua sana nimeona niilete hapa kwa great thinkers tuijadili na mwenye habari zaidi atupashe I

York David Drexell

ANGALIZO HATARI KWA WATANZANIA WOTE POPOTE PALE WALIPO;

Watanzania wote kwa ujumla wetu, wakubwa kwa wadogo, wanaharakati, asasi binafsi na za uuma, viongozi wa dini nk. yatupasa kuamka na kutambua nini kinachoendelea ndani ya nchi ya Tanzania na kukemea kama sio kulaani mbele ya Muumba wetu harakati hizi za umauti:

Mh. Nape Nnauye kada maarufu wa Chama Cha Mapinduzi "CCM" ni binadamu hatari sana, sio tu kwa amani ya nchi ya ...Tanzania halikadhalika kwa jumuiya nzima ya kimataifa kwa vizazi hata vizazi.

Upo waraka umekamatwa leo hii na taasisi moja binafsi hapa nchini ulioandaliwa na kusainiwa na kada tajwa hapo juu, aliouandaa na kuusambaza kwa wajumbe wa kamati kuu ya ccm (Nec) kupitia moja ya vikao vyake ukiwaamuru kwa makusudi kabisa wajumbe hao wa kamati tajwa kukihujumu Chama cha Demokrasia na Maendeleo "CHADEMA", kwa kuhakikisha kwamba kinapoteza uaminifu, utashi na kukubalika mbele ya jamii kwa kutekeleza yafuatayo;

1. Kuandaa nyaraka feki zitakazouaminisha umma kwamba cdm ni
chama cha kidini na ukabila kadiri itakavyowezekana.

2. Kuandaa nyaraka zitakazo uaminisha umma kwamba, cdm kipo kwenye mpango wa makusudi kabisa kuhakikisha wanatekeleza uhaini ndani ya nchi kwa kutumia mamluki (waasi) toka jamuhuri ya kidemokrasia ya watu wa Congo.

3. Kuandaa taarifa feki zitakazouaminisha umma kwamba, cdm ndicho chama kinachoratibu na kutekeleza mauaji ya raia wasiokuwa na hatia yanayoendelea hapa nchini.

4. Kuwahujumu viongozi wa cdm kwa kuwabambikizia kasha mbalimbali nzito hasa za kukutwa na madawa yakulevya hali kadhalika kuwa na uhusiano na makundi ya kigaidi duniani yanayoongozwa na Al-qaeda.

5. Kutengeneza nyaraka feki ambazo zitauaminisha umma na ulimwengu kwa ujumla kwamba, cdm kipo na mpango wa makusudi kabisa kuhakikisha Tanzania inajiondoa kwenye jumuiya ya umoja wa mataifa "UN" kwa
kuafikiana na itikadi za kikundi cha kigaidi cha Al-qaeda na washirika wake kwa kutumia vivuli vya viongozi wake wa juu.

Source: Wajumbe ndani kamati kuu ya Chama Cha Mapinduzi wenye uchungu na nchi yao waliojawa na hofu ya Mwenyezi Mungu.

Hata kama mtu hatakuwa na akili nyingi hatashindwa kutambua kuwa hizo nyaraka zitakuwa zimekosa maana kabla hata haijafikishwa kwa watu. Kwanza, ni kweli CDM kimehujumiwa kwa mikakati ya kukipaka matope kwamba ni cha kidini. Ni gani hiyo?(walisema ni cha Kikristo). Pili, kama CDM kina mwelekeo wa Kikristo basi kingependelea ukiristo na kuchukia Uislamu(ambao Al - Qaeda unahusishwa nacho).

Kama hoja ya kwanza inakubalida, ya kwamba CDM ni chama cha kidini na dini hiyo ni ya Kikristo basi hoja ya pili ya kukihusisha CDM na Al-Qaeda haiwezi kukubalika. Hivyo, mtoa mada hapo juu ninaona kuwa ama umeleta suala hilo wewe mwenyewe au hao wanaoanda mkakati hawajui wanachofanya.
 
Umeona eeh!, authenticity ya habari hii kuwa waraka uliandaliwa na Nape iko wapi? BTW-siasa ni mchezo mchafu so the opposite might be correct.
Hebu tuletee huo waraka wenyewe tuuone.
 
Hata kama mtu hatakuwa na akili nyingi hatashindwa kutambua kuwa hizo nyaraka zitakuwa zimekosa maana kabla hata haijafikishwa kwa watu. Kwanza, ni kweli CDM kimehujumiwa kwa mikakati ya kukipaka matope kwamba ni cha kidini. Ni gani hiyo?(walisema ni cha Kikristo). Pili, kama CDM kina mwelekeo wa Kikristo basi kingependelea ukiristo na kuchukia Uislamu(ambao Al - Qaeda unahusishwa nacho).

Kama hoja ya kwanza inakubalida, ya kwamba CDM ni chama cha kidini na dini hiyo ni ya Kikristo basi hoja ya pili ya kukihusisha CDM na Al-Qaeda haiwezi kukubalika. Hivyo, mtoa mada hapo juu ninaona kuwa ama umeleta suala hilo wewe mwenyewe au hao wanaoanda mkakati hawajui wanachofanya.

Japokuwa NAPE anamadhaifu mengi Sidhani kama ni mpumbavu kiasi hicho. Hii itakuwa imetiwa chunvi, lakini ni nzuri. It seems to me you cany make a good political strategist


I
 
Hii nimekutana nayo FB ikanistua sana nimeona niilete hapa kwa great thinkers tuijadili na mwenye habari zaidi atupashe I

York David Drexell

ANGALIZO HATARI KWA WATANZANIA WOTE POPOTE PALE WALIPO;

Watanzania wote kwa ujumla wetu, wakubwa kwa wadogo, wanaharakati, asasi binafsi na za uuma, viongozi wa dini nk. yatupasa kuamka na kutambua nini kinachoendelea ndani ya nchi ya Tanzania na kukemea kama sio kulaani mbele ya Muumba wetu harakati hizi za umauti:

Mh. Nape Nnauye kada maarufu wa Chama Cha Mapinduzi "CCM" ni binadamu hatari sana, sio tu kwa amani ya nchi ya ...Tanzania halikadhalika kwa jumuiya nzima ya kimataifa kwa vizazi hata vizazi.

Upo waraka umekamatwa leo hii na taasisi moja binafsi hapa nchini ulioandaliwa na kusainiwa na kada tajwa hapo juu, aliouandaa na kuusambaza kwa wajumbe wa kamati kuu ya ccm (Nec) kupitia moja ya vikao vyake ukiwaamuru kwa makusudi kabisa wajumbe hao wa kamati tajwa kukihujumu Chama cha Demokrasia na Maendeleo "CHADEMA", kwa kuhakikisha kwamba kinapoteza uaminifu, utashi na kukubalika mbele ya jamii kwa kutekeleza yafuatayo;

1. Kuandaa nyaraka feki zitakazouaminisha umma kwamba cdm ni chama cha kidini na ukabila kadiri itakavyowezekana.

2. Kuandaa nyaraka zitakazo uaminisha umma kwamba, cdm kipo kwenye mpango wa makusudi kabisa kuhakikisha wanatekeleza uhaini ndani ya nchi kwa kutumia mamluki (waasi) toka jamuhuri ya kidemokrasia ya watu wa Congo.

3. Kuandaa taarifa feki zitakazouaminisha umma kwamba, cdm ndicho chama kinachoratibu na kutekeleza mauaji ya raia wasiokuwa na hatia yanayoendelea hapa nchini.

4. Kuwahujumu viongozi wa cdm kwa kuwabambikizia kasha mbalimbali nzito hasa za kukutwa na madawa yakulevya hali kadhalika kuwa na uhusiano na makundi ya kigaidi duniani yanayoongozwa na Al-qaeda.

5. Kutengeneza nyaraka feki ambazo zitauaminisha umma na ulimwengu kwa ujumla kwamba, cdm kipo na mpango wa makusudi kabisa kuhakikisha Tanzania inajiondoa kwenye jumuiya ya umoja wa mataifa "UN" kwa kuafikiana na itikadi za kikundi cha kigaidi cha Al-qaeda na washirika wake kwa kutumia vivuli vya viongozi wake wa juu.

Source: Wajumbe ndani kamati kuu ya Chama Cha Mapinduzi wenye uchungu na nchi yao waliojawa na hofu ya Mwenyezi Mungu.

tuletee waraka wenyewe maana it seems wamekupa au ulikaa waka kuhadhia tu? rudi waambie wakupe waraka halisi uuweke hapa!
 
Ninachokifahmau mimi kuwa ni kama ajenda kukinukisha chama cha CDM machoni pa wananchi kuwa;
  1. Ni chama cha wahuni, wasiofuata utaratibu katika mambo yao. Hili linakololezwa kwa tabia ya CDM kupenda kutoa hisia kwa njia ya maandamano. Hoja inyaojengwa kila siku maandamano, maandamano hayo yanasaidia nini? Uchaguzi ulishakwisha, hivyo tufanye kazi tujenge nchi yetu. Hili kwa watu wasio na upeo wa kuona mbali limekuwa likiwaingia pole pole.
  2. Kuhakikisha wabunge wote machachari wanakesi mahakamani za kujibu na kujenga hoja kuwa hawa watu hawana muda wa kuwatumikia wananchi kila siku wanashinda mahakami. Hili nalo lisipofatutiwa tiba litapunguza kura siku za usoni
  3. Kuwaaminisha wananchi sehemu nyingi zilizochagua upinzani hazina maendeleo kutokana na wawakilishi wao aidha kutokuwa na muda wa kutulia majimboni mwao au kuwaaminisha wananchi kuwa serikali imefanya hujuma kutoleta maendeleo kama adhabu kwa wananchi hoa kuchagua upinzani. Ukweli katika jambo hili, ni kuwa sehemu nyingi hata ambazo CCM na serikali yake bado ndiyo ngome yake hazina maendeleo ya kutosha kama inaaminishwa machoni pa wananchi.
  4. Njia nyingine ni kutumia udini, ukabila kuwagawa watu. Hapo awali ilidhaniwa kwa kuwa Dr. Slaa aliwahi kuwa padri basi angeliungwa mkono na wakristo wengi na kupenyeza udini na ukabila ili uwe msalaba kwa CDM. Hili nalo limeanza kufa baada kuonekana CDM kuna waislam wengi na htaimaye hoja hiyo kuenakana hiana mashiko.
Mwisho fitna ulizozisema za Nape ni ndogo na bado Nape hakubaliki sana na makundi ylaiyopo ndani ya CCM ambapo kundi la mafisadi ndilo lenye nguvu mpaka kufikia kutishia mtandao wa JK ulioasisiwa na hao mafisadi 2005.
Ni mtazamo tu.
 
sasa km udini mbona ccm ndiyo chama cha kidini?.,.....mpaka wanaamua kuweka mambo ya dini ya kiislamu kwenye ilani yao wakati wanaamini mdomoni kwa vyama na serikali havina dini.......................cuf kilka mtu anajua kuwa ni taasisi ya kiislamu na mfungmano mzuri kabisa na al-shababu ila kitendo cha ccm kuikomalia cdm ni kwa sababu ushindi wa ccm ndo huohuo wa cuf kwani sera zao zaudini wa kiislamu na kutuletea viongozi legheleghe na wachovu km kiwete zinafanana kabisa
 
Kama hoja ya kwanza inakubalida, ya kwamba CDM ni chama cha kidini na dini hiyo ni ya Kikristo basi hoja ya pili ya kukihusisha CDM na Al-Qaeda haiwezi kukubalika...


Kwamaana hiyo hapo hakuna hoja kwa sababu hata hiyo ya kwanza haikubaliki.
 
nape yupo humu tunaomba akanushe hii habari au kukubali,right to be heard kabla ya kuhukumu
 
Panga hoja vyema achana na majungu yasiyo na mwelekeo,kichwa wala miguu..Nape ana mapungufu (Kilaza) sana ila hapa unatupotosha
 
Hata kama mtu hatakuwa na akili nyingi hatashindwa kutambua kuwa hizo nyaraka zitakuwa zimekosa maana kabla hata haijafikishwa kwa watu. Kwanza, ni kweli CDM kimehujumiwa kwa mikakati ya kukipaka matope kwamba ni cha kidini. Ni gani hiyo?(walisema ni cha Kikristo). Pili, kama CDM kina mwelekeo wa Kikristo basi kingependelea ukiristo na kuchukia Uislamu(ambao Al - Qaeda unahusishwa nacho).

Kama hoja ya kwanza inakubalida, ya kwamba CDM ni chama cha kidini na dini hiyo ni ya Kikristo basi hoja ya pili ya kukihusisha CDM na Al-Qaeda haiwezi kukubalika. Hivyo, mtoa mada hapo juu ninaona kuwa ama umeleta suala hilo wewe mwenyewe au hao wanaoanda mkakati hawajui wanachofanya.

bora nawewe umemshtukia mleta mada,nadhani huu waraka kauandaa yeye,mtu kama Nape kama anaweza kuandika waraka wa kitoto unaojichanganya kama huu...hizi ndio aina ya siasa ambazo mh.Samuel Sitta alizibatiza jina la siasa za maji taka,jina ambalo limekua maarufu mpaka leo.Hivi kwanini huyu kijana some folks humu tunamchukia sana wakati amajitoa mhanga kupambana na ufisadi na mafisadi waliokiteka chama kinachounda serikali
 
Back
Top Bottom