Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,264
- 105,429
Takwimu zinaonyesha kati ya walipa kodi 14mill, wanaolipa kodi ni 1.5 mill only...moja ya tatizo ni mfumo wa ukusanyaji kodi na inadaiwa National Ids inaweza kuwa moja ya suluhisho...
Hapa inaonekana mtoa hoja hana uhakika hata kidogo na anachosema, guesswork kibao.