Kumekuwa na Malalamiko kutoka kwa wananchi na hasa kwa wanachama na wapenzi wa chama cha Mapinduzi kuwa
katibu wa Siasa na Uenezi,ndugu Nape Mnauye,amekuwa akitoa Matamko mbalimbali ya kwake binafsi na hasa yanapoleta mgongano ndani ya jamii,na yeye amekuwa akijitetea mara kwa mara kuwa yeye ni msemaji tu wa chama
mambo yote huamliwa na vikao halali.
Sasa wakuu hili swala la Dr.Slaa kumiliki kadi halali ya CCM,alilotamka akiwa mjini Mwanza,Je?inawezekana kweli ni
maazimio ya secratariate inayoongozwa na Mh.Kinana na wajumbe wengine makini kama Asha Rose Migoro,walikaa
nakukubaliana Nape,akaseme haya jukwaani?badala ya kutoa taarifa muhimu zenye maslahi kwa watu.
Mimi binafsi naamini watu makini kama hao niliowataja hawawezi kujadili upuuzi wa namna hiyo,kama ndivyo basi ni
malalamiko ya baadhi ya watu hasa wana CCM,kuwa NAPE huzungumza mambo yake mwenyewe na kwa interest za
watu anaowaunga mkono dhidi ya maadui wake wa kisiasa ndani na nje ya chama chake.
Naleta kwenu kwa mjadala mpana zaidi.
katibu wa Siasa na Uenezi,ndugu Nape Mnauye,amekuwa akitoa Matamko mbalimbali ya kwake binafsi na hasa yanapoleta mgongano ndani ya jamii,na yeye amekuwa akijitetea mara kwa mara kuwa yeye ni msemaji tu wa chama
mambo yote huamliwa na vikao halali.
Sasa wakuu hili swala la Dr.Slaa kumiliki kadi halali ya CCM,alilotamka akiwa mjini Mwanza,Je?inawezekana kweli ni
maazimio ya secratariate inayoongozwa na Mh.Kinana na wajumbe wengine makini kama Asha Rose Migoro,walikaa
nakukubaliana Nape,akaseme haya jukwaani?badala ya kutoa taarifa muhimu zenye maslahi kwa watu.
Mimi binafsi naamini watu makini kama hao niliowataja hawawezi kujadili upuuzi wa namna hiyo,kama ndivyo basi ni
malalamiko ya baadhi ya watu hasa wana CCM,kuwa NAPE huzungumza mambo yake mwenyewe na kwa interest za
watu anaowaunga mkono dhidi ya maadui wake wa kisiasa ndani na nje ya chama chake.
Naleta kwenu kwa mjadala mpana zaidi.