Kuna watu wengi waliamini kuwa Arusha ni ngome imara sana ya CDM, wababe wa siasa dhidi ya upinzani nchini Abrahman Kinana na Nape Nnauye wataunguruma leo jijini Arusha...na kwa hakika mapokezi yao yametisha sana kwenye uwanja wa ndege wa Arusha..
**kivutio ilikuwa ni uwepo wa Edward Lowassa kumpokea asimu wake mkubwa kisiasa Nape Nnauye...
HABARI ZAIDI MCHANA KADRI MKUTANO UNAVYOKWENDA
**kivutio ilikuwa ni uwepo wa Edward Lowassa kumpokea asimu wake mkubwa kisiasa Nape Nnauye...
HABARI ZAIDI MCHANA KADRI MKUTANO UNAVYOKWENDA