kweli kabisa. Mie huyo namwona kama shoga vile make vitendo vyake vya kike na kishoga mhone anavyojilambalamba!Nape hana hoja, kageuka kuwa kijana wa mipasho, Jahazi itabidi wampe featuring
kweli kabisa. Mie huyo namwona kama shoga vile make vitendo vyake vya kike na kishoga mhone anavyojilambalamba!Nape hana hoja, kageuka kuwa kijana wa mipasho, Jahazi itabidi wampe featuring
:crutch:Leo nimepita kwenye facebook wall ya Nape Nnauye nimekuta ameandika maneno haya na nanukuu: "Maneno yako Baba yanaishi, uliyoyasema yanatimia, wanaojaribu kuyapinga yanawapinga wao na miishio yao twaishuhudia ni mibaya". Mwisho wa kunukuu.
My concern ni kwamba Baba wa Taifa Hayati Julius Kambarage Nyerere aliitabiria vibaya Chama Cha Mapinduzi husasani tabia yake ya kushindwa kukabili vitendo vya ufisadi wa viongozi wake waliopo serikalini na kuwakumbatia wafanyabishara na kuwasahau wakulima na wafanyakazi. Baadae kabisa wakati wa vuguvugu la vyama vingi alikuja hata kukitabiria CHADEMA kama chama makini na kinachoweza kuchukua dola siku za usoni baada ya CCM.
Je kauli hii ya Nape mbona inapingani na ile aliyoitoa mara baada ya Uchaguzi mdogo wa Igunga kwamba mvuto wa CCM umeimarika?
Source: David Kafulila | Facebook
Leo nimepita kwenye facebook wall ya Nape Nnauye nimekuta ameandika maneno haya na nanukuu: "Maneno yako Baba yanaishi, uliyoyasema yanatimia, wanaojaribu kuyapinga yanawapinga wao na miishio yao twaishuhudia ni mibaya". Mwisho wa kunukuu.
My concern ni kwamba Baba wa Taifa Hayati Julius Kambarage Nyerere aliitabiria vibaya Chama Cha Mapinduzi husasani tabia yake ya kushindwa kukabili vitendo vya ufisadi wa viongozi wake waliopo serikalini na kuwakumbatia wafanyabishara na kuwasahau wakulima na wafanyakazi. Baadae kabisa wakati wa vuguvugu la vyama vingi alikuja hata kukitabiria CHADEMA kama chama makini na kinachoweza kuchukua dola siku za usoni baada ya CCM.
Je kauli hii ya Nape mbona inapingani na ile aliyoitoa mara baada ya Uchaguzi mdogo wa Igunga kwamba mvuto wa CCM umeimarika?
Source: David Kafulila | Facebook
Dah JF imetoka mbali sana yaani Makonda alikuwa anakesha humu kumtetea nape leo hii kamgeuka!! Kazi kwelikweliMi sioni hukumu ya Nape,tatizo nikumwekea tafasri-kinywani.kunatafauti kubwa sana kati ya mawazo ya Nape na mtowa maana.
Leo nimepita kwenye facebook wall ya Nape Nnauye nimekuta ameandika maneno haya na nanukuu: "Maneno yako Baba yanaishi, uliyoyasema yanatimia, wanaojaribu kuyapinga yanawapinga wao na miishio yao twaishuhudia ni mibaya". Mwisho wa kunukuu.
My concern ni kwamba Baba wa Taifa Hayati Julius Kambarage Nyerere aliitabiria vibaya Chama Cha Mapinduzi husasani tabia yake ya kushindwa kukabili vitendo vya ufisadi wa viongozi wake waliopo serikalini na kuwakumbatia wafanyabishara na kuwasahau wakulima na wafanyakazi. Baadae kabisa wakati wa vuguvugu la vyama vingi alikuja hata kukitabiria CHADEMA kama chama makini na kinachoweza kuchukua dola siku za usoni baada ya CCM.
Je kauli hii ya Nape mbona inapingani na ile aliyoitoa mara baada ya Uchaguzi mdogo wa Igunga kwamba mvuto wa CCM umeimarika?
Source: David Kafulila | Facebook
Mi sioni hukumu ya Nape,tatizo nikumwekea tafasri-kinywani.kunatafauti kubwa sana kati ya mawazo ya Nape na mtowa maana.