Nape, Mwigulu, Makamba, Membe na Kinana msikubali kuporwa chama. Kipiganieni, mkishindwa anzisheni chama kipya cha siasa

Watazame vizuri wote hao, unaona nani yuko tayari katika hao kufanya uliyoshauri?
 
Kila mtanzania anajua nguvu, ushawishi, weledi na maarifa yenu (Mwigulu, Membe, Nape, Kinana na Makamba) mliotumia ktk kukijenga na kukiimarisha chama cha mapinduzi.

Lkn kuna kila dalili kwamba mliyemkabidhi dhamana kubwa (uenyekiti) hatambui kazi kubwa mliyoifanya na sasa kuna nguvu kubwa ya kuwaondosha na kuwazika kabisa kisiasa.

Siasa ni vita na siasa haina adui wala rafiki wa kudumu. Mkilijua hili mtakipigania chama ili kisiporwe na "wakuja". Lkn mkizubaa hakika mtapotea.

Kama mpambano umewashinda, basi ni vema mkatumia umaarufu, nguvu na maarifa yenu kuanzisha chama kipya haraka iwezekanavyo. Na kwa akili, ushwishi na maarifa mliyonayo, hakika chama kitastawi haraka mnooo.

Ni hayo tu. Narudia tena mkizubaa, mnazikwa kisiasa.
Hao especially Membe ni wahalifu,nani ataungana nao,labda vibaka,hakuna alie wahi toka ccm akashaini,hayupo,niambie ni nani,mtaje,naona unataka wafe jumla
 
Hao ndo wameua Chama kwa taarifa yako. Nyie makuwadi wao ambao mlikuwa mnanufaika na wizi wa Nchi hii.JPM ndio kiboko ya majizi yote iwe CCM serikalini au popote.Magufuli kama maji usipooga utakunywa tu.
Baelezee ukweli,hawa wanafiki.

Fimbo ya kuwachapa hii hapa
 
Kila mtanzania anajua nguvu, ushawishi, weledi na maarifa yenu (Mwigulu, Membe, Nape, Kinana na Makamba) mliotumia ktk kukijenga na kukiimarisha chama cha mapinduzi.

Lkn kuna kila dalili kwamba mliyemkabidhi dhamana kubwa (uenyekiti) hatambui kazi kubwa mliyoifanya na sasa kuna nguvu kubwa ya kuwaondosha na kuwazika kabisa kisiasa.

Siasa ni vita na siasa haina adui wala rafiki wa kudumu. Mkilijua hili mtakipigania chama ili kisiporwe na "wakuja". Lkn mkizubaa hakika mtapotea.

Kama mpambano umewashinda, basi ni vema mkatumia umaarufu, nguvu na maarifa yenu kuanzisha chama kipya haraka iwezekanavyo. Na kwa akili, ushwishi na maarifa mliyonayo, hakika chama kitastawi haraka mnooo.

Ni hayo tu. Narudia tena mkizubaa, mnazikwa kisiasa.


Hao wote uliowataja hapo juu ni machizi tu, hawastahili kukumbukwa kwa lolote zaidi ya kutukanwa tu.
 
Bashite wala siyo mwanaccm mkuu, ni wakuja

Tatizo lenu hamtambui wachapakazi hodari kama Mhe Makonda, kule Hong Kong/ China kwa mwaka mzima sasa hawajanasa wabebaji wa madawa ya kulevya(drug mules) kama kipindi cha awamu iliyopita. Ni dhahiri kuwa nchi chini ya uongozi wa Rais Dr Magufuli na Mkurugenzi Mkuu sianga na Dsm ikiongozwa na Mhe Makonda wameweza kuwabana drug dealers. Ili uone ukweli angalia website ya Hong Kong/China www.v2catholic.com( events by The Right Rev Father John)!Awamu iliyopita kuna viongozi wengine ilibidi wakodeshe mashua (hired speed boats) kwenda kuokoa ndugu waliokuwa wananaswa kwa ubebaji (drug mules) wa madawa ya kulevya. Rais Kikwete aliona Mhe Makonda anafaa ndiyo maana alimteua kuwa Mkuu wa wilaya na Dr Magufuli kurithi tu!
 
Tatizo lenu hamtambui wachapakazi hodari kama Mhe Makonda, kule Hong Kong/ China kwa mwaka mzima sasa hawajanasa wabebaji wa madawa ya kulevya(drug mules) kama kipindi cha awamu iliyopita. Ni dhahiri kuwa nchi chini ya uongozi wa Rais Dr Magufuli na Mkurugenzi Mkuu sianga na Dsm ikiongozwa na Mhe Makonda wameweza kuwabana drug dealers. Ili uone ukweli angalia website ya Hong Kong/China www.v2catholic.com( events by The Right Rev Father John)!Awamu iliyopita kuna viongozi wengine ilibidi wakodeshe mashua (hired speed boats) kwenda kuokoa ndugu waliokuwa wananaswa kwa ubebaji (drug mules) wa madawa ya kulevya. Rais Kikwete aliona Mhe Makonda anafaa ndiyo maana alimteua kuwa Mkuu wa wilaya na Dr Magufuli kurithi tu!
Baada ya kumpa kichapo jaji warioba wakaina anastahili kupewa cheo,hahah siasa majitaka.
 
Kiukweli nikisikia jina la Mwigulu Nchemba kwenye misheni yoyote huwa nahisi bora SHETANI ahusike kuliko huyu jamaa
 
ccm ni chama ambacho hakina mwenyewe tofauti na vyama vingine ambavyo vimeanzishwa kwa kutegemea watu binafsi hao unaowasema ni chama ndio kimewafikisha hapo na chama hicho kikiamua kuwamaliza kinawamaliza ndio maana hawana jeuri ya kutoka na kuanzishaa vyamavyao ni vyema kabla ya kutoa mada kama hizi kafanye utafiti kwanza
Aliyekwambia Ccm haina mwenyewe ni nani.Kwani Tanu na Asp havikua na waanzilishi.Wewe sema wengi wao wametangulia mbele ya haki na hao wa vyama vingine bado wapo hai kwasababu sio vyama vikongwe.Kila kitu kina mwenyewe.
 
Mkuu upo?sikuoni siku nyingi hapa mwandiga
Hao wakitoka CCM hawana ubavu wa kushindana na udhalimu na uonevu wa serikali. Hata hivyo wapo kimaslahi zaidi kuliko kujali shida za wananchi.

Nna uhakika hawawezi kutoka na hawana ubavu wa kuanzisha Chama.

Hawa hawa akina Zitto, Maalim na Mbowe watatufikisha kwenye demokrasia na utawala wa haki
 
Vipi kuhusu Daud Albert Bashite na kuwa na majina ya ajabu?
Yalisikika maneno haya huko kwenye korido flani flani:

"Acha waunde hicho chama chao waone Makaburi yao yatakavyofukuliwa fasta tu Kama ifuatavyo:

Nape:Kujiuzia ma v8 ya CCM kwa bei chee wkt akiwa mwenezi.

Makamba:Kuiba mtihani na kufutiwa matokeo na zile bil. 1 alizochukua huko NSSF na hakurudisha.

Membe:Hela za Ghadafi

Kinana:Meli yake iliyobeba meno ya tembo + uraia.

Mwigulu:Huyu si ndio anaitwaga Lam... Madelu sio?Tutakomaa nae kwenye vyeti vya shule.

Inshort ninafurahi sana wanavyovurugana maana walijifanya wanajua sana kumpigia debe mzee baba mpk mmojawapo akavunjika mkono kwenye hizo harakati.

Mzee baba shikilia hapo hapo
 
Sipati picha siku babake aking'atuka mjengoni sikuji huyo mdoli atakimbilia wapi
Labda ameahajianda kisaikolojia maana hata juzi amesikika akisema hakuna mtu anayekula bata kama yeye,ingawa sijui kama bata lake linafikia la watoto wa Saddam na Ghadafi lkn leo sijui hata wako wapi.
 
Hao bata wamemlewesha sana
Labda ameahajianda kisaikolojia maana hata juzi amesikika akisema hakuna mtu anayekula bata kama yeye,ingawa sijui kama bata lake linafikia la watoto wa Saddam na Ghadafi lkn leo sijui hata wako wapi.
 
EFF ya Julius Malema - nadhani tutaona mengi kipindi cha kuelekea uchaguzi
Rais ajaye nina uhakika atatoka kanda ya magharibi mwa Tanzania - hao uliowataja wajiandae kisaikolojia
 
Kila mtanzania anajua nguvu, ushawishi, weledi na maarifa yenu (Mwigulu, Membe, Nape, Kinana na Makamba) mliotumia ktk kukijenga na kukiimarisha chama cha mapinduzi.

Lkn kuna kila dalili kwamba mliyemkabidhi dhamana kubwa (uenyekiti) hatambui kazi kubwa mliyoifanya na sasa kuna nguvu kubwa ya kuwaondosha na kuwazika kabisa kisiasa.

Siasa ni vita na siasa haina adui wala rafiki wa kudumu. Mkilijua hili mtakipigania chama ili kisiporwe na "wakuja". Lkn mkizubaa hakika mtapotea.

Kama mpambano umewashinda, basi ni vema mkatumia umaarufu, nguvu na maarifa yenu kuanzisha chama kipya haraka iwezekanavyo. Na kwa akili, ushwishi na maarifa mliyonayo, hakika chama kitastawi haraka mnooo.

Ni hayo tu. Narudia tena mkizubaa, mnazikwa kisiasa.
Kuna tofauti kubwa sana za uendeshaji na muundo wa chama kati ya CCM na vyako mlipuko, vyama mlipuko ni mali ya watu Binafsi, Kuna vuvuli vya watu kwenye uongozi wa chama, Na hata inapotokea ubadilishanaji wa madaraka hakuna ridhaa ya kweli, wenye chama hufanya maamuzi ya nani wanamtaka na sio wanachama.
CCM ni Chama kisicho na mwenyewe japo kuna baadhi ya watu walijimilikisha Chama wao na Familia zao, kuingia kwa Mwenyekiti wetu wa sasa kumeondoa hati miliki za watu kwenye chama
Ndio maana kuna watu wako nje na wanalia lia.
Kimsingi Chama hakipaswi kuwa na mmiliki.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom