Nape, muda mwingi unaotumia kumsema vibaya Hayati Magufuli ungeutumia kupigania Tozo za Intaneti na Miamala

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,544
108,865
Baba wa Watu ameshalala tokea mwaka Juzi (2021) lakini cha Kushangaza (tena ukiwa Mtoto wa Kiume) Wewe kila Siku ni Kumsengenya mara Kumfumbia Mafumbo tabia ambazo tumezoea kuona zikifanya na Dada zetu (Watoto wa Kike)

In short Unaboa japo wenye akili tunajua unafanya hivyo (Kumsema vibaya Hayati Magufuli) Kimkakati kabisa ili umfurahishe boss wako (Rais Samia) ambaye hakuupenda Uongozi wa aliyekuwa boss wake japo Kimaamuzi walikuwa wakifanya pamoja kwa mujibu wa Katiba ili asifikirie Kukutumbua katika huo uwaziri wako ambao mpaka sasa GENTAMYCINE nikiambiwa nikupe Marks za Kiutendaji nikikupa nyingi basi ni 10% tu ila 90% umeharibu na hufai kuwa hapo.

Hovyoooooo......!!!!!!
 
Baba wa Watu ameshalala tokea mwaka Juzi (2021) lakini cha Kushangaza (tena ukiwa Mtoto wa Kiume) Wewe kila Siku ni Kumsengenya mara Kumfumbia Mafumbo tabia ambazo tumezoea kuona zikifanya na Dada zetu (Watoto wa Kike)

In short Unaboa japo wenye akili tunajua unafanya hivyo (Kumsema vibaya Hayati Magufuli) Kimkakati kabisa ili umfurahishe boss wako (Rais Samia) ambaye hakuupenda Uongozi wa aliyekuwa boss wake japo Kimaamuzi walikuwa wakifanya pamoja kwa mujibu wa Katiba ili asifikirie Kukutumbua katika huo uwaziri wako ambao mpaka sasa GENTAMYCINE nikiambiwa nikupe Marks za Kiutendaji nikikupa nyingi basi ni 10% tu ila 90% umeharibu na hufai kuwa hapo.

Hovyoooooo......!!!!!!
Nape kama unapita JF jijue umejichimbia kaburi la kisiasa, kosa lako kubwa ni kujikita kumdhihaki Dkt Magufuli ambaye hayupo ila anaonekana kukushinda na mfano sakata la cloud inasemekana uliogopa wauza madawa ambao walikununua kwa mil ndogo tu thwmanini, sasa nani mzalendo ni yule aliyepinga madawa na hao watu wako cloud walihusika mpaka ngwea akafa akiwa anafanya hiyo kitu au wewe uliyelamba na ukaohppa kufa maana kutumbuliwa ilikuwa rhisi sana na ulijua utaomba msamaha ila wauza nganda wanaua, so don’t full around watu wanajua wewe unamapungufu makubwa sana ila ungekuwa na hekima basi ungemshukuru Dkt Magufuli kwa kukusamehe
 
Nape kama unapita JF jijue umejichimbia kaburi la kisiasa, kosa lako kubwa ni kujikita kumdhihaki Dkt Magufuli ambaye hayupo ila anaonekana kukushinda na mfano sakata la cloud inasemekana uliogopa wauza madawa ambao walikununua kwa mil ndogo tu thwmanini, sasa nani mzalendo ni yule aliyepinga madawa na hao watu wako cloud walihusika mpaka ngwea akafa akiwa anafanya hiyo kitu au wewe uliyelamba na ukaohppa kufa maana kutumbuliwa ilikuwa rhisi sana na ulijua utaomba msamaha ila wauza nganda wanaua, so don’t full around watu wanajua wewe unamapungufu makubwa sana ila ungekuwa na hekima basi ungemshukuru Dkt Magufuli kwa kukusamehe
Hiyo Ngada Yeye hakuwahi Kuuza?
 
Nape kama unapita JF jijue umejichimbia kaburi la kisiasa, kosa lako kubwa ni kujikita kumdhihaki Dkt Magufuli ambaye hayupo ila anaonekana kukushinda na mfano sakata la cloud inasemekana uliogopa wauza madawa ambao walikununua kwa mil ndogo tu thwmanini, sasa nani mzalendo ni yule aliyepinga madawa na hao watu wako cloud walihusika mpaka ngwea akafa akiwa anafanya hiyo kitu au wewe uliyelamba na ukaohppa kufa maana kutumbuliwa ilikuwa rhisi sana na ulijua utaomba msamaha ila wauza nganda wanaua, so don’t full around watu wanajua wewe unamapungufu makubwa sana ila ungekuwa na hekima basi ungemshukuru Dkt Magufuli kwa kukusamehe
Hana akili huyo
 
Hiyo Ngada Yeye hakuwahi Kuuza?
Inawezekana maana vita ya madawa ilikuwa inaonekana ya wateja wake wa siku nyingi na alijua nguvu yao ndiyo maana akaona bora zali la kufukuzwa uwaziri lakini siyo kutofautiana na hao jamaa. Ndiyo maana Nape siyo msafi na hana credibility ya kujilinganisha na Dkt Magufuli, ila bado ni kijana anaweza kubadilika na akaeleweka sema wenye nchi aliowatukania mtu ambaye alikufa mikononi mwao lazima watakuwa walishazika file lake succh that he will never amount to anything, ni suala la muda
 
Baba wa Watu ameshalala tokea mwaka Juzi (2021) lakini cha Kushangaza (tena ukiwa Mtoto wa Kiume) Wewe kila Siku ni Kumsengenya mara Kumfumbia Mafumbo tabia ambazo tumezoea kuona zikifanya na Dada zetu (Watoto wa Kike)

In short Unaboa japo wenye akili tunajua unafanya hivyo (Kumsema vibaya Hayati Magufuli) Kimkakati kabisa ili umfurahishe boss wako (Rais Samia) ambaye hakuupenda Uongozi wa aliyekuwa boss wake japo Kimaamuzi walikuwa wakifanya pamoja kwa mujibu wa Katiba ili asifikirie Kukutumbua katika huo uwaziri wako ambao mpaka sasa GENTAMYCINE nikiambiwa nikupe Marks za Kiutendaji nikikupa nyingi basi ni 10% tu ila 90% umeharibu na hufai kuwa hapo.

Hovyoooooo......!!!!!!
Jiwe=satan
 
Back
Top Bottom