Nape moses nnauye kupoteza umaarufu kwa hili.

Vitendo

JF-Expert Member
Oct 23, 2009
582
103
Mkuu wa wilaya ya Masasi,mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM(NEC-CCM) na kijana machachari ndani ya chama cha mapinduzi Nape Nnauye,Je atapoteza umaarufu ndani ya chama chake hasa baada ya jimbo la Masasi kuangukia kwa Chama cha wananchi(CUF)?
Je suala hilo linaweza tumiwa na maadui wa kisiasa wa Nape kumharibia kabisa katika harakati zake za kukikosoa chama na Viongozi wake?
Maana kuna wadau wanasema Nape ameshindwa kutumia nafasi yake kuisaidia CCM kupata ushindi katika wilaya anayoiongoza.
 
Mambo ya ccm tuwaachie wenyewe. Wengine bado tuna hasira na majeraha ya uchaguzi.
 
Mkuu wa wilaya ya Masasi,mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM(NEC-CCM) na kijana machachari ndani ya chama cha mapinduzi Nape Nnauye,Je atapoteza umaarufu ndani ya chama chake hasa baada ya jimbo la Masasi kuangukia kwa Chama cha wananchi(CUF)?
Je suala hilo linaweza tumiwa na maadui wa kisiasa wa Nape kumharibia kabisa katika harakati zake za kukikosoa chama na Viongozi wake?
Maana kuna wadau wanasema Nape ameshindwa kutumia nafasi yake kuisaidia CCM kupata ushindi katika wilaya anayoiongoza.

Mi namuona Nape Nauye yuko fair, alihakikisha mshindi halali anatangazwa kwa manufaa ya watu wa Masasi na Taifa kwa ujumla. Wewe ulitaka atangulize Chama kwa kuchakachua figure badala ya Taifa? Wale waliokubali kuburuzwa na Chama kwa kuvuruga matokeo ndo heshima yao itashuka mbele ya jamii siyo Nape! Nategemea siku moja huko tuendako Kijana huyu Shupavu ndo litakuwa tegemeo la CCM katika kujisafisha mbele ya Watanzania, watamkabidhi chama kilicho kosa mvuto ili aokoe jahazi. Lakini itakuwa too late.
 
Mkuu wa wilaya ya Masasi,mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM(NEC-CCM) na kijana machachari ndani ya chama cha mapinduzi Nape Nnauye,Je atapoteza umaarufu ndani ya chama chake hasa baada ya jimbo la Masasi kuangukia kwa Chama cha wananchi(CUF)?
Je suala hilo linaweza tumiwa na maadui wa kisiasa wa Nape kumharibia kabisa katika harakati zake za kukikosoa chama na Viongozi wake?
Maana kuna wadau wanasema Nape ameshindwa kutumia nafasi yake kuisaidia CCM kupata ushindi katika wilaya anayoiongoza.

mshikaji kama huna uhakika na unachoongea ukae kimya unajidhalilisha na unafanya watu waone J.F sehemu ya udaku,uzushi na ushambenga
hakuna hata jimbo moja mtwara limechukuliwa na wapinzani!na masasi kata zote zimeenda chama cha c.c.m.............kusoma hujui hata picha jamani huielewi?umenikera na uzushi wako!
 
Nape is a good fighter. Mie nafikiri alichokosea ni kukubali ofa ya ukuu wa wilaya ambayo mie naona ni kazi ndogo kulinganisha na uwezo wake (may b atakuwa na elimu relatively ndogo kama ya a not well passed bachelor, so he is not strong enough in d other industries). Wameenda kumzeesha tu huko akitoka huko atakuwa amekwisha fanana nao kabisa, there will be no more Nape that we used to know after some two or three years.

Pole kijana, I thought u would b more professional kama wenzako kina zitto kabwe ambao mbali na kufanya siasa wanapiga shule kubwa (kama phd) ili kuwa ever strong. Hii inasaidia mtu kutotegemea kumsujudia mtu kama kikwete na wenzake. Angalia mzee magufuli leo hii ana phd tena ya sayansi unafikiri leo akikosa ubunge ataanza kuhaha, he is professional, maisha yake yatakuwa always juu.

Kitakachotusaidia sie vijana wa leo TZ ni kutafuta very high education na kuwa na very strong CVs that we can fit anywhere in this world. Hii itatufanya tuache kuona siasa ndo sehemu inayolipa kuliko chochote kumbe la. Rafiki zangu wengi this time walijitokeza kugombea ubunge hasa CCM wakijua huko ni rahisi kushinda sababu kuna kuiba kura. I asked them why would u want to to dodoma, walisema huko ndiko kuna hela za bure ambazo huitaji kuumiza kichwa for five years na ukaibuka na mamilioni. It's too sad.

Ni mtazamo tu.
 
Nape is a good fighter. Mie nafikiri alichokosea ni kukubali ofa ya ukuu wa wilaya ambayo mie naona ni kazi ndogo kulinganisha na uwezo wake (may b atakuwa na elimu relatively ndogo kama ya a not well passed bachelor, so he is not strong enough in d other industries). Wameenda kumzeesha tu huko akitoka huko atakuwa amekwisha fanana nao kabisa, there will be no more Nape that we used to know after some two or three years.

Pole kijana, I thought u would b more professional kama wenzako kina zitto kabwe ambao mbali na kufanya siasa wanapiga shule kubwa (kama phd) ili kuwa ever strong. Hii inasaidia mtu kutotegemea kumsujudia mtu kama kikwete na wenzake. Angalia mzee magufuli leo hii ana phd tena ya sayansi unafikiri leo akikosa ubunge ataanza kuhaha, he is professional, maisha yake yatakuwa always juu.

Kitakachotusaidia sie vijana wa leo TZ ni kutafuta very high education na kuwa na very strong CVs that we can fit anywhere in this world. Hii itatufanya tuache kuona siasa ndo sehemu inayolipa kuliko chochote kumbe la. Rafiki zangu wengi this time walijitokeza kugombea ubunge hasa CCM wakijua huko ni rahisi kushinda sababu kuna kuiba kura. I asked them why would u want to to dodoma, walisema huko ndiko kuna hela za bure ambazo huitaji kuumiza kichwa for five years na ukaibuka na mamilioni. It's too sad.

Ni mtazamo tu.
 
Kwa taarifa yako Nape kupewa Ukuu wa wilaya ilikuwa ni mpango mkakati wa kupunguza umaarufu wake,kwa kuogopa kuwa kuteuliwa kwake na Mgombea mwenza kuwep naye katika msafara wa kampeni.
Wapenda madaraka ndani ya chama wakaona itawaghalimu siku zijazo na itakuwa nafasi kwa Nape kujulikana kwaa Watanzania wote.
 
Nape ndo nani bwana. Kama anauchungu basi si angekuwa upande wa wenye uchungu. mbona ndo alikuwa anapigia mafisadi kampeni. Mbona alienda kumpigia Hawa kampeni huku akijua kabisa Mnyika ndo mtu sitahili kwa wana ubungo. Nape ana-sifa ndani ya ccm tu. Nje ya CCM yeye ni fisadi.
 
Nape ni mwana CCM mwenye fikra pevuyuko tofauti na Viongozi wengi wa UVCCM tunaowajua. Acha ushabiki usio kuwa wa lazima.
 
Kiongozi mwadilifu hawezi kutumia nafasi yake ya utumishi kwa umma kujinufaisha mwenyewe au kikundi kimaslahi.
Nape is too smart to be caught up in the CCM manipulation cobweb... upambanaji wa Nape hauko kiitikadi (CCM), uko kiuzalendo zaidi
 
Mkuu wa wilaya ya Masasi,mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM(NEC-CCM) na kijana machachari ndani ya chama cha mapinduzi Nape Nnauye,Je atapoteza umaarufu ndani ya chama chake hasa baada ya jimbo la Masasi kuangukia kwa Chama cha wananchi(CUF)?
Je suala hilo linaweza tumiwa na maadui wa kisiasa wa Nape kumharibia kabisa katika harakati zake za kukikosoa chama na Viongozi wake?
Maana kuna wadau wanasema Nape ameshindwa kutumia nafasi yake kuisaidia CCM kupata ushindi katika wilaya anayoiongoza.

Watajijua.

Sisi wacha tuendelee kujenga chadema yetu
 
Nape is a good fighter. Mie nafikiri alichokosea ni kukubali ofa ya ukuu wa wilaya ambayo mie naona ni kazi ndogo kulinganisha na uwezo wake (may b atakuwa na elimu relatively ndogo kama ya a not well passed bachelor, so he is not strong enough in d other industries). Wameenda kumzeesha tu huko akitoka huko atakuwa amekwisha fanana nao kabisa, there will be no more Nape that we used to know after some two or three years.

Pole kijana, I thought u would b more professional kama wenzako kina zitto kabwe ambao mbali na kufanya siasa wanapiga shule kubwa (kama phd) ili kuwa ever strong. Hii inasaidia mtu kutotegemea kumsujudia mtu kama kikwete na wenzake. Angalia mzee magufuli leo hii ana phd tena ya sayansi unafikiri leo akikosa ubunge ataanza kuhaha, he is professional, maisha yake yatakuwa always juu.

Kitakachotusaidia sie vijana wa leo TZ ni kutafuta very high education na kuwa na very strong CVs that we can fit anywhere in this world. Hii itatufanya tuache kuona siasa ndo sehemu inayolipa kuliko chochote kumbe la. Rafiki zangu wengi this time walijitokeza kugombea ubunge hasa CCM wakijua huko ni rahisi kushinda sababu kuna kuiba kura. I asked them why would u want to to dodoma, walisema huko ndiko kuna hela za bure ambazo huitaji kuumiza kichwa for five years na ukaibuka na mamilioni. It's too sad.

Ni mtazamo tu.

nakubaliana na wewe kwenye baadhi ya points, Hata mimi naona Nape amefanya kosa la kisiasa kukubali kwenda Masasi?, alishafika pick ya juu kisiasa kama kweli alikuwa na ambition hizo za kisiasa huko alikokwenda hawezi kusema na kusikika, siasa zake zitakuwa ni nyepesinyepesi, mkuu wa wilaya kwa sasa hana nguvu sana kisiasa
JK alimpeleka Kandoro Mwanza ili akamjenge na kukijenga Chama, lakini mwisho wa siku matokeo ni kama tuliyoyaona, Kandoro kashindwa kuperform kwa sababu hicho cheo hakina influence sana kwenye mambo ya siasa kiko kiserikali zaidi, tofauti na Ubunge
 
Back
Top Bottom