Tanzaniaist
Senior Member
- Nov 29, 2011
- 161
- 156
Hii ni kweli kwamba sasa hivi vyama vikubwa vya CCM na CUF vinahimiliwa na vijana wawili Nape Mnauye na Julius Mtatiro..,hawa ni vijana ambao wanaonyesha uwezo mkubwa kwenye suala zima la uongozi na siasa!
Lakini nina wasiwasi wakawa wanatumiwa na vyama vyao bila kutimiza malengo yao..,mwisho wa siku Nape Mnauye Jnr Atajikuta Anarudi kwenye nafasi yake ya ukuu wa wilaya na Julius Mtatiro kufukuzwa kama Rwakatare,hamad rashid au kujikuta amenunuliwa kama tambwe hizza..!
NAPE NA JULIUS STILL U HAVE TIME..KARIBUNI CHADEMA MTIMIZE NDOTO ZENU..,ACHANENI KUPOTEZA MUDA NA KUJIPAKA MATOPE NA KUBEBA MADHAMBI YA MAFISADI..UNGANENI NA MAKAMANDA NA VIJANA WENZENU KULIKOMBOA TAIFA
Lakini nina wasiwasi wakawa wanatumiwa na vyama vyao bila kutimiza malengo yao..,mwisho wa siku Nape Mnauye Jnr Atajikuta Anarudi kwenye nafasi yake ya ukuu wa wilaya na Julius Mtatiro kufukuzwa kama Rwakatare,hamad rashid au kujikuta amenunuliwa kama tambwe hizza..!
NAPE NA JULIUS STILL U HAVE TIME..KARIBUNI CHADEMA MTIMIZE NDOTO ZENU..,ACHANENI KUPOTEZA MUDA NA KUJIPAKA MATOPE NA KUBEBA MADHAMBI YA MAFISADI..UNGANENI NA MAKAMANDA NA VIJANA WENZENU KULIKOMBOA TAIFA