Lyimo
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 3,826
- 2,017
Kwenye ITV jana Habari Mh.Mbowe amesema anaoushahidi wa Video na silaha zilizotumika.Pia anajua wazi polisi wa FFU ndio walilipua bomu lile kwa maagizo ya serikali.
MH.MBOWE,
1.Hayo maagizo ya serikali ulipoyapata kwanini hukupeleka polisi au kupeleka malalamiko yako kwenye vyombo vya habari kwamba serikali inapanga kutipua?Je huoni kama Una spin kwa mtindo wa kujifunga ww mwenyewe?
2.Unaposema Unavideo.Hiyo video ilichukuliwa na nani wakati bomu linalipuka?Huoni kama uliandaa wachukua video?.
Naomba tukumbushe, kwani ule mkasa wa Marehemu Daudi Mwangosi kule Iringa ilikuwaje? Si uliona picha na video zikionesha matukio mpaka utekelezaji wa mauaji. Inamaana pia Mbowe alipanga mauaji na polisi wetu na kuwachukua picha. Kweli watanzania tumekuwa wajinga kwa ushabiki usio na msingi.