Kufa c mwiko
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 720
- 274
Kwa aliye fuatilia mahojiano yake na mtangazaji wa sauti ya Amerika jana jioni kuhusiana na mlipuko wa bomu Arusha atajiuliza kama kweli mtu huyu huwa anatumia ubongo kufikiri au makamasi? Yaani haushughulishi kabisa ubongo wake kufikiri..anaropoka tu bila kujali nafasi aliyonayo ni watu wangapi wenye busara wako nyuma yake.
mkuu huyu nape mimi namfahamu kwa karibu haja kubwa anatunzia kichwani kwake ubongo upo tumboni.