cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,317
- 7,509
Hii Twitte ya mh Nape sijamwelewa,aliyemwelewa anisaidie tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii Twitte ya mh Nape sijamwelewa,aliyemwelewa anisaidie tafadhaliView attachment 1029753
Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono hoja huyu rais wetu kila jambo anafanya kisiasa,anafikiria political mirage za muda mfupi, kwa kweli nchi yetu imepatwa this time.atazindua miradi mingi sana ila hakuna utakaokamilika kwa wakati.wanaosifu na kuabudu ongezeni bidii kwa kweli
Lisu ananyoosha maneno mnasema siyo mzalendo. Nape akinyoosha mtasema siyo mzalendo.Mwanaume hunyoosha maneno,pinda pinda ni dalili ya woga,majungu,fitina,aserereke tu,au ndo ule msemo akibanwa akanushe hakumaanisha vile?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa watu akili zao wanazijua wenyewe!Lisu ananyoosha maneno mnasema siyo mzalendo. Nape akinyoosha mtasema siyo mzalendo.
Saizi nayeye anapata utamu,.
Kweli kila mtu ataonja na kuona jinsi bwana alivyo mwema.[/QUOTuzuri ni kuwa kwenye korosho msimamo wake ulijulikana na sasa anathibitisha kuwa aliona mbali waliomsema vibaya ni wakati wa kufikiri upya.this time akina nape,ghasia,katani,zitto nk.waliopinga ni heroes lazima ikubalike hivyo bila chenga
Yaani naliona anguko LA chama changu pendwa Ccm.. Kuna vitu wana fanya utadhani Hakuna mtu alie kwenda Shule kwenye hicho chama.. Ni aibu
Wajeda waje watoe mrejesho kama walivyotuaga kwa mbwembwe kwenda kumenya na meno.
Sent using Jamii Forums mobile app