Meitinyiku L. Robinson
JF-Expert Member
- Aug 29, 2011
- 412
- 90
Kwa wale waliobahatika jana kusikiliza na vile vile kuona Taarifa ya Habari hasa kupitia TBC walimshuhudia Nape alivyokuwa akizungumza na waandishi wa Habari kwa majigambo na kwa nguvu akishurutisha kuaminika kwake na kutambuika kwamba yeye ndiye chanzo Sahihi kinachotakiwa kutoa habari kwa waandishi ili waandishi nao wapeleke kwa wananchi.
Hili binafsi nalipinga na sina haja ya kuliamini hata kidogo, toka Mwaka huu Bwana Nape amekuwa akitoa habari tka ndani ya vikao vya Chama na habari zote alizowahi kuzitoa Nape zimekuwa zikipingwa hadharani ama na wakuu wake ndani Chama hicho hicho ama Makada wenzie jambo linalonipelekea kuamini kuwa habari azitoazo Nape hazina ithibati na ni za kwake binafsi na hili ndilo hasa linalopelekea waandishi wa habari na hata wananchi kupoteza imani kwa Bwana na kuanza kuandika habari kwa hisia.
Lakini la pili lililonikera zaidi ni pale Nape alipozungumza tena kwa kujigamba kuwa viongozi wa CHADEMA wanakwenda kuonana na Mwenyekti ya Chama chao this is nonsense na upuuzi uliokithiri na upunguani vile vile na hili linatokana na kutoshirikisha vyema viungo vya mwili majibu haya ni ya jumla na hayawezi toka kinywani mwa mtu ambaye kinywa hicho hicho anakitumia kwa kusalimia watu na viongozi wake na kwa kuabudia........... Its ridiculous na vitu kama hivi ndivyo visivyohitaji Itikadi wakati mwingine.
Ninachoelewa (emphasis is mine) Viongozi wa CHADEMA wanakwenda kuonana na RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TZ period! Hii maneno ingine ni ubatili usio na tija.... And the president was happy kwa hilo kwa sababu watu wanakwenda pale kuzungumzia Taifa sasa wakati mwingine inakera sana yani kila kitu Chama, Chama, Chama.......
Hili binafsi nalipinga na sina haja ya kuliamini hata kidogo, toka Mwaka huu Bwana Nape amekuwa akitoa habari tka ndani ya vikao vya Chama na habari zote alizowahi kuzitoa Nape zimekuwa zikipingwa hadharani ama na wakuu wake ndani Chama hicho hicho ama Makada wenzie jambo linalonipelekea kuamini kuwa habari azitoazo Nape hazina ithibati na ni za kwake binafsi na hili ndilo hasa linalopelekea waandishi wa habari na hata wananchi kupoteza imani kwa Bwana na kuanza kuandika habari kwa hisia.
Lakini la pili lililonikera zaidi ni pale Nape alipozungumza tena kwa kujigamba kuwa viongozi wa CHADEMA wanakwenda kuonana na Mwenyekti ya Chama chao this is nonsense na upuuzi uliokithiri na upunguani vile vile na hili linatokana na kutoshirikisha vyema viungo vya mwili majibu haya ni ya jumla na hayawezi toka kinywani mwa mtu ambaye kinywa hicho hicho anakitumia kwa kusalimia watu na viongozi wake na kwa kuabudia........... Its ridiculous na vitu kama hivi ndivyo visivyohitaji Itikadi wakati mwingine.
Ninachoelewa (emphasis is mine) Viongozi wa CHADEMA wanakwenda kuonana na RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TZ period! Hii maneno ingine ni ubatili usio na tija.... And the president was happy kwa hilo kwa sababu watu wanakwenda pale kuzungumzia Taifa sasa wakati mwingine inakera sana yani kila kitu Chama, Chama, Chama.......