NAPE; Mimi nakataa kabisa wewe si chanzo SAHIHI cha Habari!!

Meitinyiku L. Robinson

JF-Expert Member
Aug 29, 2011
412
90
Kwa wale waliobahatika jana kusikiliza na vile vile kuona Taarifa ya Habari hasa kupitia TBC walimshuhudia Nape alivyokuwa akizungumza na waandishi wa Habari kwa majigambo na kwa nguvu akishurutisha kuaminika kwake na kutambuika kwamba yeye ndiye chanzo Sahihi kinachotakiwa kutoa habari kwa waandishi ili waandishi nao wapeleke kwa wananchi.

Hili binafsi nalipinga na sina haja ya kuliamini hata kidogo, toka Mwaka huu Bwana Nape amekuwa akitoa habari tka ndani ya vikao vya Chama na habari zote alizowahi kuzitoa Nape zimekuwa zikipingwa hadharani ama na wakuu wake ndani Chama hicho hicho ama Makada wenzie jambo linalonipelekea kuamini kuwa habari azitoazo Nape hazina ithibati na ni za kwake binafsi na hili ndilo hasa linalopelekea waandishi wa habari na hata wananchi kupoteza imani kwa Bwana na kuanza kuandika habari kwa hisia.

Lakini la pili lililonikera zaidi ni pale Nape alipozungumza tena kwa kujigamba kuwa viongozi wa CHADEMA wanakwenda kuonana na Mwenyekti ya Chama chao this is nonsense na upuuzi uliokithiri na upunguani vile vile na hili linatokana na kutoshirikisha vyema viungo vya mwili majibu haya ni ya jumla na hayawezi toka kinywani mwa mtu ambaye kinywa hicho hicho anakitumia kwa kusalimia watu na viongozi wake na kwa kuabudia........... Its ridiculous na vitu kama hivi ndivyo visivyohitaji Itikadi wakati mwingine.

Ninachoelewa (emphasis is mine) Viongozi wa CHADEMA wanakwenda kuonana na RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TZ period! Hii maneno ingine ni ubatili usio na tija.... And the president was happy kwa hilo kwa sababu watu wanakwenda pale kuzungumzia Taifa sasa wakati mwingine inakera sana yani kila kitu Chama, Chama, Chama.......
 
Kwa jinsi alivyokuwa anajichanganya jana! Mara Ooh, Mambo ya UVCCM lazima wayatolee uamuzi kwenye Kamati Kuu. Mara Ooh, hatufanyi kazi kwa kupitia maneno ya vyombo vya habari labda tu UVCCM wangeyaleta kwenye vikao vya chama ndio tungewajadili kwenye Kamati Kuu!

Huyu mtu hivi ana elimu gani! Au ndo degree za magumashi!?
 
In short huyo ni new Tambwe Hizza!
tofauti mwenzake alikuwa kwenye Propaganda=uongo, ila huyu ni katibu uenezi na itikadi sasa labda itikadi zao ni kueneza upotoshaji.
 
Sijasoma sana mada yako nimefatilia tu hitimisho lake, naomba niweke maana sawa kwa kusema wanaenda kuonana na rais..... Nafikiri na nilivyochukulia mie ni kuwa chadema wanaenda kujadili issue yao na taasisi nyingine ya dola, maana bunge wameshindwa kuelewana...

CCM tuwe makini na hili tuwaelewe tusibweteke.
 
Tatizo ni Nape na TBC walofanya hayo mahojiano,

kama uliangalia vizuri, walikuwa nyuma ya ukumbi mafichoni, kny ukuta hata kamera man alikuwa too close,

nahapakuwa na chombo kingine cha habari!

so ule ulikuwa ni mwendelezo wa propaganda za hiki chombo cha habari plus Nnauye!


TUSITARAJIE ASALI KWENYE RUNDO LA INZI TENA WA CHOONI....!
 
... Nafikiri na nilivyochukulia mie ni kuwa chadema wanaenda kujadili issue yao na taasisi nyingine ya dola, maana bunge wameshindwa kuelewana...
Na ndio maana hata ombi lilipokubaliwa lilitolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Ikulu
 
Nape alimeza tonge ambalo haliwezi na sasa anajaribu kulitema. Kama hakusema kujivua gamba mbona Rostam alijivua gamba na huku akimtuhumu Nape kwa kupotosha maamuzi ya NEC?

Ni mwiko na aibu mtu kula matapishi.
 
Kwa wale waliobahatika jana kusikiliza na vile vile kuona Taarifa ya Habari hasa kupitia TBC walimshuhudia Nape alivyokuwa akizungumza na waandishi wa Habari kwa majigambo na kwa nguvu akishurutisha kuaminika kwake na kutambuika kwamba yeye ndiye chanzo Sahihi kinachotakiwa kutoa habari kwa waandishi ili waandishi nao wapeleke kwa wananchi.

Hili binafsi nalipinga na sina haja ya kuliamini hata kidogo, toka Mwaka huu Bwana Nape amekuwa akitoa habari tka ndani ya vikao vya Chama na habari zote alizowahi kuzitoa Nape zimekuwa zikipingwa hadharani ama na wakuu wake ndani Chama hicho hicho ama Makada wenzie jambo linalonipelekea kuamini kuwa habari azitoazo Nape hazina ithibati na ni za kwake binafsi na hili ndilo hasa linalopelekea waandishi wa habari na hata wananchi kupoteza imani kwa Bwana na kuanza kuandika habari kwa hisia.

Lakini la pili lililonikera zaidi ni pale Nape alipozungumza tena kwa kujigamba kuwa viongozi wa CHADEMA wanakwenda kuonana na Mwenyekti ya Chama chao this is nonsense na upuuzi uliokithiri na upunguani vile vile na hili linatokana na kutoshirikisha vyema viungo vya mwili majibu haya ni ya jumla na hayawezi toka kinywani mwa mtu ambaye kinywa hicho hicho anakitumia kwa kusalimia watu na viongozi wake na kwa kuabudia........... Its ridiculous na vitu kama hivi ndivyo visivyohitaji Itikadi wakati mwingine.

Ninachoelewa (emphasis is mine) Viongozi wa CHADEMA wanakwenda kuonana na RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TZ period! Hii maneno ingine ni ubatili usio na tija.... And the president was happy kwa hilo kwa sababu watu wanakwenda pale kuzungumzia Taifa sasa wakati mwingine inakera sana yani kila kitu Chama, Chama, Chama.......
hizo taarifa rasmi za vikao vya chama (ccm) utazipatia wapi kama si kwa nape?
 
Mimi nilivyosoma tamko la maazimio ya Chadema kukutana na rais ni kwamba wanaenda kujadiliana na rais kuhusiana na msimamo wa Chama kuhusiana na katiba. Mswada umepelekwa kwa rais ili ausign ili iwe sheria. Na bila shaka JK atausign na itakuwa sheria. Chadema wanaenda kurusha karata kwa rais waone kama wanaweza kumshawishi asiusign. Na hawataweza kumshawishi.

Baada ya kulishawishi bunge likakataa na kumshawishi rais akakataa, Chadema watarudi kwa wananchi na kutueleza yote. Kitakachobaki sasa ni maamuzi yetu sisi wananchi kuhusiana na katiba...... Mimi ninachoona hapa ni kwamba Chadema wanajitahidi kufata njia zote ziwekenazavyo za kistaarabu na kiungwana kuepusha huu muswada wa ajabu kuwa sheria.
 
Sijasoma sana mada yako nimefatilia tu hitimisho lake, naomba niweke maana sawa kwa kusema wanaenda kuonana na rais..... Nafikiri na nilivyochukulia mie ni kuwa chadema wanaenda kujadili issue yao na taasisi nyingine ya dola, maana bunge wameshindwa kuelewana...

CCM tuwe makini na hili tuwaelewe tusibweteke.
Ila mwenezi kasema wanaenda kuonana na mwenyekiti wa chama. Kwa mchanganuo wa haraha haraka huo sio uchochezi?
 
Sijasoma sana mada yako nimefatilia tu hitimisho lake, naomba niweke maana sawa kwa kusema wanaenda kuonana na rais..... Nafikiri na nilivyochukulia mie ni kuwa chadema wanaenda kujadili issue yao na taasisi nyingine ya dola, maana bunge wameshindwa kuelewana...

CCM tuwe makini na hili tuwaelewe tusibweteke.

I agree with you 100%
 

Ninachoelewa (emphasis is mine) Viongozi wa CHADEMA wanakwenda kuonana na RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TZ period! Hii maneno ingine ni ubatili usio na tija.... And the president was happy kwa hilo kwa sababu watu wanakwenda pale kuzungumzia Taifa sasa wakati mwingine inakera sana yani kila kitu Chama, Chama, Chama.......
[/QUOTE]

Ambaye ndiye Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi, Chadema wanaenda kuonana na Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi. Hapa ni kujidanganya kutenganisha vyeo hivyo.
Akishazungumza na Chadema ataenda kutoa taarifa kwenye vikao vyao vya Kamati Kuu na NEC na mwishowe watamshauri.
 
mo2.jpg


Usanii
 
Kwa wale waliobahatika jana kusikiliza na vile vile kuona Taarifa ya Habari hasa kupitia TBC walimshuhudia Nape alivyokuwa akizungumza na waandishi wa Habari kwa majigambo na kwa nguvu akishurutisha kuaminika kwake na kutambuika kwamba yeye ndiye chanzo Sahihi kinachotakiwa kutoa habari kwa waandishi ili waandishi nao wapeleke kwa wananchi.

Hili binafsi nalipinga na sina haja ya kuliamini hata kidogo, toka Mwaka huu Bwana Nape amekuwa akitoa habari tka ndani ya vikao vya Chama na habari zote alizowahi kuzitoa Nape zimekuwa zikipingwa hadharani ama na wakuu wake ndani Chama hicho hicho ama Makada wenzie jambo linalonipelekea kuamini kuwa habari azitoazo Nape hazina ithibati na ni za kwake binafsi na hili ndilo hasa linalopelekea waandishi wa habari na hata wananchi kupoteza imani kwa Bwana na kuanza kuandika habari kwa hisia.

Lakini la pili lililonikera zaidi ni pale Nape alipozungumza tena kwa kujigamba kuwa viongozi wa CHADEMA wanakwenda kuonana na Mwenyekti ya Chama chao this is nonsense na upuuzi uliokithiri na upunguani vile vile na hili linatokana na kutoshirikisha vyema viungo vya mwili majibu haya ni ya jumla na hayawezi toka kinywani mwa mtu ambaye kinywa hicho hicho anakitumia kwa kusalimia watu na viongozi wake na kwa kuabudia........... Its ridiculous na vitu kama hivi ndivyo visivyohitaji Itikadi wakati mwingine.

Ninachoelewa (emphasis is mine) Viongozi wa CHADEMA wanakwenda kuonana na RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TZ period! Hii maneno ingine ni ubatili usio na tija.... And the president was happy kwa hilo kwa sababu watu wanakwenda pale kuzungumzia Taifa sasa wakati mwingine inakera sana yani kila kitu Chama, Chama, Chama.......

mo3.jpg


Labda anataka kujiimarisha katika jitihasa za kuijenga upya CCJ
 
Back
Top Bottom