maatope
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 1,424
- 957
Mbowe aiuza rasmi CHADEMA. Lowasa anataka mamluki aliokuja nao wapewe nafasi za uongozi, ubunge, udiwani.
Chanzo uhuru.[/QUOTE
]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe aiuza rasmi CHADEMA. Lowasa anataka mamluki aliokuja nao wapewe nafasi za uongozi, ubunge, udiwani.
Chanzo uhuru.[/QUOTE
]
Chanzo uhuru.
kati ya magazeti yenye kuandikwa nanmakanjanja nchini hili gazeti nadhani lipo ktk top 3...
No hard feelings...
mkuu hakuna kabila bongo linalojua businesss ka wachaga saiv wanafanya political business
Mbowe aiuza rasmi chadema. Lowasa anataka mamluki aliokuja nao wapewe nafasi za uongozi,ubunge, udiwani. Haijafahamika kwenye benki accounts ameingiziwa kiasi gani.
Wachaga sasa ivi wanafanya political business na inalipa.
Chanzo uhuru.
Mbona watanzania hamjitambui? Kazi ya gazeti siyo kumnadi mgombea wa chama flani tu ni kutupasha habari ambazo zote zinazoendelea Tanzania nzima bira kujari itikadi za kivyama.
Uhuru ...gazeti la kikuda sana la kisiasa..!!
Ukisoma hilo gazeti kichwa chako kinakuwa almost equal to Nape...!!!
Si mmesikia Nape anahaha kumsafisha Magufuli kuwa hakusema atatoa laptops kwa walimu wote...imagine, CCM inaona watu wangese sana...!!!
Ukiwa na akili timamu huwezi kukaa CCM...Nape atakoma na mdomo wake...ashaona moto wa Lowassa, Ukawa...sasa CCM inakufa rasmi...!!!
Si walitukana watu makapi, oil chafu, sasa wasubirie nguvu ya umma...!!!
Nape kadhoofu sana jana kwa mtu anayemjua kawa mdogo mnooo...!!