Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,316
- 10,782
Thats not the point at all, wewe nina uhakika asilimia 100% unajua anachozungumza Marando ni uongo na hautamjenga yeye wala chama chake na unaweza kumshauri lakini unaendeleza maushabiki ya kipuuuzi.
Kama anachozungumza Mabere Marando ni uongo, chifu mwaga ukweli hapa!
Maana mimi najua anachozungumza Marando ni ukweli.