Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,459
- 29,153
Leo Mwigulu amekuwa mpole nafikiri mambo yamemfika
Lile "Biti"bado lipo active mawazoni mwake, anahisi jamaa anaweza akamzukia tena.
Leo Mwigulu amekuwa mpole nafikiri mambo yamemfika
kwani Marando alisema wahusika ni ccm au mtoto wa kigogo wa ccm, kwani Nape ndo huyo mtoto wa kiongozi wa juu wa serikali mpaka atoe kauli yeye?au kiherehere kinamsumbua?
Leo kaongea kwa upole sana. Bila shaka ni kwa sababu anatambua umahiri wa Marando.
mbona hii wamejibu haraka baada ya dili lao kushitukiwa. Marando huwa hakurupuki hata siku moja..........nape mpeleke mahakamani marando akakupe ushahidi...........
the original sms sent must been seen and copied from the cell phone then ilinganishwe na centre number na serial number za sim card job donemwaga mkuu ndiyo raha ya JF
Wa Marando ni msimamo sio kauli na Misimamo huwa haifutwi, Nape wahi mahakamani!........Nape amemtaka Marando afute kauli au adhibitishe kauli yake. Nae Mwigulu kaonyesha kimemo alichoandikiwa na kamanda Mbowe na kusema kuwa kilikuwa na lugha kali sana, na amesema kuna siku kamanda Mbowe alienda akampiga biti live akiwa na Chiligati.
Source : ITV
........Nape amemtaka Marando afute kauli au adhibitishe kauli yake. Nae Mwigulu kaonyesha kimemo alichoandikiwa na kamanda Mbowe na kusema kuwa kilikuwa na lugha kali sana, na amesema kuna siku kamanda Mbowe alienda akampiga biti live akiwa na Chiligati.
Source : ITV
........Nape amemtaka Marando afute kauli au adhibitishe kauli yake. Nae Mwigulu kaonyesha kimemo alichoandikiwa na kamanda Mbowe na kusema kuwa kilikuwa na lugha kali sana, na amesema kuna siku kamanda Mbowe alienda akampiga biti live akiwa na Chiligati.
Source : ITV
:redface: Inaonekana wewe unapenda sana ugomvi, miaka 03 iliyobakia si mingi, jiandae kugombea Uraisi kwani JK atakuwa amemaliza kipindi chake ili tukuone usivyodhaifu.Mtoto wa kigogo mwenye mashine ni nani ,
Atakuwa Miraji JK nini ?
........Nape amemtaka Marando afute kauli au adhibitishe kauli yake. Nae Mwigulu kaonyesha kimemo alichoandikiwa na kamanda Mbowe na kusema kuwa kilikuwa na lugha kali sana, na amesema kuna siku kamanda Mbowe alienda akampiga biti live akiwa na Chiligati.
Source : ITV
Leo kaongea kwa upole sana. Bila shaka ni kwa sababu anatambua umahiri wa Marando.
........Nape amemtaka Marando afute kauli au adhibitishe kauli yake. Nae Mwigulu kaonyesha kimemo alichoandikiwa na kamanda Mbowe na kusema kuwa kilikuwa na lugha kali sana, na amesema kuna siku kamanda Mbowe alienda akampiga biti live akiwa na Chiligati.
Source : ITV
Atakuwa riziwani au february makambaMtoto wa kigogo mwenye mashine ni nani ,
Atakuwa Miraji JK nini ?