Hivi watz wenzangu, ni nini tunakipigania kama watanzania, ni mivutano ya maneno ambayo haina mwelekeo wa kuinua uchumi wa taifa letu? au ni kuunga mkono watu ambao wametumia muda wao katika madaraka kujilimbikizia mali na na kuwa sehemu ya kuyumba kwa uchumi wa taifa letu kwa kufakamia kila fursa ya kibiashara inayotokea katika nchi yetu, au wale ambao wanadhamira ya kurejesha nidhamu katika CCM na serikali yake ya kuheshimu madaraka na nyadhifa wanazokabidhiwa, kama anavyofanya NAPE? tufike mahali tubadilike, tuache tabia ya uCCM na uCHADEMA, tutetee nchi yetu.
unakunywa kahawa una mke?
Ama kweli mbongo akipewa msimbazi atapigana kufa kupona amridhishe boss wakeHapo hamna chembe ya udini. Kwa wakristo wakatoliki, ukishapata daraja la upandre, hiyo title haifutiki kamwe! Slaa kwa kuwa alikuwa padre, siwezi kumnyima title yake!
Tuhabarishen zaidi kwani mlimani tv huku haishiki
Tusiwe na mazoea ya kupinga kila kitu. Nape kaongea vizuri sana. Yupo after ukombozi wa vijana.
Hahahahahahahah..
CDM VIAZI sana!
Badala ya kupambana na CCM wanapambana na Nape..
Kumbe anaitaja CDM na siyo mtu?kwahiyo, we unataka kusema Nape anaweza kumaliza hotuba zake bila kuiponda CDM!!!!!, fatilia hotuba zake zote. Kwa upuuzi huo wanao-ona mbele lazima wapambane naye.
kwan nape chama ganHahahahahahahah..
CDM VIAZI sana!
Badala ya kupambana na CCM wanapambana na Nape..
Kumbe anaitaja CDM na siyo mtu?
Mbona CDM yote kuanzia Mwenyekiti mpaka mfagizi lazima amtaje Nape?
Yaelekea huyu bwana mdogo Nape anawanyima sana usingizi CDM