Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nnauye Jr,
..zaidi ya hayo ya kujivua gamba, hivi CCM mmeridhika na matokeo ya mitihani ya kitaifa na mwenendo mzima wa sekta ya elimu hapa nchini?
..naona kama vile chama chako kinaliangamiza taifa letu kutokana na sera yake mbovu ya elimu. CCM na serikali zake imetufikisha mahali ambapo wahitimu wa mfumo wetu wa elimu hawaaminiki tena, na hiyo inadhihirishwa na matokeo ya mitihani na feedback tunayopata toka kwa waajiri[wawekezaji].
Aliyeleta huu uzi hajauliza hili wewe unauliza tu kwa sababu umemuona NAPE yuko jamvini? Wote tunayo maswali mengi ya kumuuliza lakini tukifanya hivyo itakuwa fujo na huyu aliyeleta huu uzi hatajibiwa ipasavyo.
Hoja nyingin: NAPE KAPUNGUZA UVUVUZELA...
Sina hakika uvuvzela upi uusemao, kama kelele zangu juu ya mijitu iliyojidanganya kuwa inaweza kupewa dhamana ikatumia dhamana hiyo kuifilisi nchi kwa kutumia wao na watoto wao kuingia mikataba ya hovyo ambayo inalazimu Watanzania wavuja jasho walipe, ni uvuvuzela basi nadhani uvuvuzela ni jambo jema sana na hapa nilipo nipo stage ya juu kabisa ya uvuvuzela. Maana nina hasira nao sana, kila nikikumbuka kuwa pengine wangekuwa makini na kutumia dhamana walizopewa vizuri tatizo la umeme leo ingekuwa historia, nasikia hasira sana...
Kila nikikumbuka kuna kina mama wanakufa kwa kukosa aspirini tu, wakati kuna watu walipewa dhamana wakaiingiza nchi kuwalipa bila huruma zaidi ya 152 Mill. Kwa siku, nasikia hasira sana.
Kuna vijana leo wanakaa chini, pesa walizofuja na kulipana bila huruma hao unaowatetea leo zingetatua tatizo hilo kwa kiasi gani?
Tatizo huyu Nova na wenzake hawaamini kama CCM inaweza kutokomeza ufisadi na mafisadi na kuzani kuwa kipo chama mbadala kinachoweza kufanya kazi hiyo.
Kengemumaji,
..ni kwasababu Nape ni mtu adimu hapa jamvini.
..halafu hii hoja ya ufisadi imeshachuja sasa.
..CCM wana "dili-dali" tu na mafisadi hamna chochote wanachofanya.
Tatizo huyu Nova na wenzake hawaamini kama CCM inaweza kutokomeza ufisadi na mafisadi na kuzani kuwa kipo chama mbadala kinachoweza kufanya kazi hiyo.
Kenge.....
Nape yuko hapa acha kumsemea, wewe si msemaji wa chama chetu pls.......
JokaKuu naomba nijibu ya Nova nikimaliza tutajadili la elimu, pengine ukilianzishia thread yake itakuwa bora zaidi
Jokakuu, naomba nikwambie kuwa hoja ya ufisadi haijachuja na itachuja tu pale mafisadi watakapochuliwa hatua japo siku zote mimi huwa najiuliza swali kwamba hivi fisadi hasa ni nani.... jibu silipati.
Nape SASA unaonyesha uanamme wako mambo yakukimbia umeacha HONGERA MKUU!oaTOKEA NIMEINGIA NIMEKUWA NIKIPAMBANA KUSHINDANA NA HAO WANAODHANI KWA PESA ZAO KILA KIJANA WATAMUWEKA MFUKONI, MIE NI MOJA YA VIJANA WENGI WANAOSEMA HAPANA KUWEKWA MFUKONI... NA NDIO CHANZO CHA MAFISADI KUJARIBU BILA MAFANIKIO KUNIKATISHA TAMAA, NASEMA KILA JUHUDI WAFANYAYO NI SAWA NA KUMWAGIA PETROLI KWENYE MOTO....ITAKULA KWENU.
Nape unayoongea ndo ambayo kila siku tunayapigania lakin inaonekana ndani ya ccm kama upo pekeyako hivi unayepinga ufisadi, wengine woote wasanii na waoga. sasa nadhani utafeil brother u cant make it! bwana!Hoja nyingin: NAPE KAPUNGUZA UVUVUZELA...
Sina hakika uvuvzela upi uusemao, kama kelele zangu juu ya mijitu iliyojidanganya kuwa inaweza kupewa dhamana ikatumia dhamana hiyo kuifilisi nchi kwa kutumia wao na watoto wao kuingia mikataba ya hovyo ambayo inalazimu Watanzania wavuja jasho walipe, ni uvuvuzela basi nadhani uvuvuzela ni jambo jema sana na hapa nilipo nipo stage ya juu kabisa ya uvuvuzela. Maana nina hasira nao sana, kila nikikumbuka kuwa pengine wangekuwa makini na kutumia dhamana walizopewa vizuri tatizo la umeme leo ingekuwa historia, nasikia hasira sana...
Kila nikikumbuka kuna kina mama wanakufa kwa kukosa aspirini tu, wakati kuna watu walipewa dhamana wakaiingiza nchi kuwalipa bila huruma zaidi ya 152 Mill. Kwa siku, nasikia hasira sana.
Kuna vijana leo wanakaa chini, pesa walizofuja na kulipana bila huruma hao unaowatetea leo zingetatua tatizo hilo kwa kiasi gani?
TOKEA NIMEINGIA NIMEKUWA NIKIPAMBANA KUSHINDANA NA HAO WANAODHANI KWA PESA ZAO KILA KIJANA WATAMUWEKA MFUKONI, MIE NI MOJA YA VIJANA WENGI WANAOSEMA HAPANA KUWEKWA MFUKONI... NA NDIO CHANZO CHA MAFISADI KUJARIBU BILA MAFANIKIO KUNIKATISHA TAMAA, NASEMA KILA JUHUDI WAFANYAYO NI SAWA NA KUMWAGIA PETROLI KWENYE MOTO....ITAKULA KWENU.
Ndugu yake nape agenda yako ya kupinga ufisadi ni nzuri na unastahili pongezi, ila unapokesea ni kuwa mafisadi wanaonekana mbele yako ni wale tu ambao hawako kwenye kambi yako ya 2015, ila wale ambao wako upande wako wao sio mafisadi hapo ndipo tunasema kuwa dhana yako ya kupinga ufisadi inalenga 2015Hoja nyingin: NAPE KAPUNGUZA UVUVUZELA...
Sina hakika uvuvzela upi uusemao, kama kelele zangu juu ya mijitu iliyojidanganya kuwa inaweza kupewa dhamana ikatumia dhamana hiyo kuifilisi nchi kwa kutumia wao na watoto wao kuingia mikataba ya hovyo ambayo inalazimu Watanzania wavuja jasho walipe, ni uvuvuzela basi nadhani uvuvuzela ni jambo jema sana na hapa nilipo nipo stage ya juu kabisa ya uvuvuzela. Maana nina hasira nao sana, kila nikikumbuka kuwa pengine wangekuwa makini na kutumia dhamana walizopewa vizuri tatizo la umeme leo ingekuwa historia, nasikia hasira sana...
Kila nikikumbuka kuna kina mama wanakufa kwa kukosa aspirini tu, wakati kuna watu walipewa dhamana wakaiingiza nchi kuwalipa bila huruma zaidi ya 152 Mill. Kwa siku, nasikia hasira sana.
Kuna vijana leo wanakaa chini, pesa walizofuja na kulipana bila huruma hao unaowatetea leo zingetatua tatizo hilo kwa kiasi gani?
Hoja nyingin: NAPE KAPUNGUZA UVUVUZELA...
Sina hakika uvuvzela upi uusemao, kama kelele zangu juu ya mijitu iliyojidanganya kuwa inaweza kupewa dhamana ikatumia dhamana hiyo kuifilisi nchi kwa kutumia wao na watoto wao kuingia mikataba ya hovyo ambayo inalazimu Watanzania wavuja jasho walipe, ni uvuvuzela basi nadhani uvuvuzela ni jambo jema sana na hapa nilipo nipo stage ya juu kabisa ya uvuvuzela. Maana nina hasira nao sana, kila nikikumbuka kuwa pengine wangekuwa makini na kutumia dhamana walizopewa vizuri tatizo la umeme leo ingekuwa historia, nasikia hasira sana...
Kila nikikumbuka kuna kina mama wanakufa kwa kukosa aspirini tu, wakati kuna watu walipewa dhamana wakaiingiza nchi kuwalipa bila huruma zaidi ya 152 Mill. Kwa siku, nasikia hasira sana.
Kuna vijana leo wanakaa chini, pesa walizofuja na kulipana bila huruma hao unaowatetea leo zingetatua tatizo hilo kwa kiasi gani?