Mzalendo K
Member
- Jun 22, 2012
- 32
- 13
Nimeshangaa sana leo nilikuwa mkutano wa CDM kata ya Kimandolu ghafla nikaona kundi kubwa la vijana wanasukuma gari, kuangalia kwa karibu nikaona gari la Nape linasukumwa na vijana wanaimba "Lema byebye"! Nikaambiwa Chalii wa CCM ameingia mjini kuja kumzika Lema! Mkutano wa Chadema ukavurugika vijana wakahamia kushangaa msafara wa Nape.
Hali ya Chadema na Lema Arusha taabani kabisa!
Hali ya Chadema na Lema Arusha taabani kabisa!