Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Baada ya kuibuka na hoja zisizokuwa na tija kwa taifa inayoashiria CCM kuishiwa na sera, hasa baada ya kumuuliza Dr. Slaa kama alirudisha kadi ya CCM, Mimi kama mwanaharakati huru, napenda kumuuliza Nape Nauye kama aliirudisha kadi yake ya kudumu ya chama cha jamii yaani CCJ ambaye yeye Nape ni Mwanzilishi wake. Kama aliirudisha alimkabidhi nani?
Ikiwa NAPE hajairudisha, basi anatenda kosa la jinai, kwani ni kinyume cha sheria kwa mtu kuwa mwanachama wa vyama viwili tofauti kwa wakati mmoja.....Hoja ujibiwa na Hoja. Nape Tunaomba ujibu hoja. MODS: Please dont remove this thread. Tunaomba Ukweli kwa sababu NAPE ni mmoja wa waanzishili wa CCJ akiwana Mh. Samwel Sita et al.
Ikiwa NAPE hajairudisha, basi anatenda kosa la jinai, kwani ni kinyume cha sheria kwa mtu kuwa mwanachama wa vyama viwili tofauti kwa wakati mmoja.....Hoja ujibiwa na Hoja. Nape Tunaomba ujibu hoja. MODS: Please dont remove this thread. Tunaomba Ukweli kwa sababu NAPE ni mmoja wa waanzishili wa CCJ akiwana Mh. Samwel Sita et al.