Nape: Jisahihishe, Unapoteza Vijana Wengi CCM

Mchambuzi,

..this country needs radical changes, not incremental changes.

..uzembe wa kuridhika na incremental changes ndiyo umetufikisha hapa ambapo tuna miaka 40+ toka uhuru na hakuna kitu cha maana ambacho CCM inaweza kutuonyesha wananchi.

..bila ya wananchi kuwa na attitude ya ku-demand radical changes all the time nchi hii itaendelea kukwama.

..tunachotakiwa ni kuhakikisha kwamba tuna utamaduni wa kubadilisha serikali zetu kwa amani.

..binafsi sioni ubaya wowote kama wa-Tanzania wataamua kubadilisha chama tawala ktk kila uchaguzi mkuu.
 
Mchambuzi,

..this country needs radical changes, not incremental changes.

..uzembe wa kuridhika na incremental changes ndiyo umetufikisha hapa ambapo tuna miaka 40+ toka uhuru na hakuna kitu cha maana ambacho CCM inaweza kutuonyesha wananchi.

..bila ya wananchi kuwa na attitude ya ku-demand radical changes all the time nchi hii itaendelea kukwama.

..tunachotakiwa ni kuhakikisha kwamba tuna utamaduni wa kubadilisha serikali zetu kwa amani.

..binafsi sioni ubaya wowote kama wa-Tanzania wataamua kubadilisha chama tawala ktk kila uchaguzi mkuu.

Upo sahihi, lakini nadhani sijaeleweka vizuri; maana yangu hapa ni rahisi sana: Chadema needs to go to the people and listen to their needs, desires and hopes kama alivyofanya Nyerere (enzi za TANU)alipojiuzulu siasa na kwenda vijijini kwa muda mrefu sana kusikiliza matatizo ya wananchi; Hapo ndipo alipogundua kwamba njia pekee hapa ni Ujamaa (as i have already discussed elsewhere); Chadema wanafanya makosa kidogo kwenye project yao ya M4C, kwani its a good idea lakini ukisikiliza hotuba za viongozi wa Chadema kwa wananchi ni kama vile wananchi watarajie mabadiliko baada ya muda mfupi sana (kwa mfano rejea hotuba ya Mbowe Morogoro juzi);

Chadema needs to take a trip huko vijijini inayofanania na ile ya Mwalimu enzi za TANU i.e they should turn M4C kuwa a fact finding mission, then baada ya hapo, they have to assess the resources available to meet the hopes, desires and expectations za walio wengi, then match these resources with expectations, hopes, desires za walio wengi (hasa vijijini), lakini pia match that na uwezo wa Chadema kutimiza ahadi zinazotolewa under the M4C project and towards 2015 in general;

Kwa mtazamo wangu ambao pengine ni mfupo sana, Chadema ikifanya haya (esp kwanza kwa ku modify project ya M4C kuwa a fact finding mission), ni dhahiri watagundua kwamba safari ya mabadiliko ya kiuchumi kwa watanzania walio wengi ni ndefu sana and it has to take an additive approach, not radical kwani in practice, radical changes hazitawezekana; ndio maana nahimiza umuhimu wa chadema to lay out plan yao na kuiweka wazi kwa umma kwamba tupeni muda fulani to reconstruct uchumi "WENU" ambao umeharibika chini ya utawala wa CCM, na kuhimiza kwa wananchi kwamba hii itakuwa kazi kubwa na waombe wananchi wajifunge mkanda; then waweke wazi kwa umma kwamba baada ya kipindi fulani, tutaingia phase two ambayo italenga Developmental issues za namna hii, hii na hii...(but once Chadema is satisfied with the reconstruction progress); maana yangu ni hii tu Jokakuu, otherwise I agree kwamba radical changes zinahitajika lakini implementation yake haiwezi kuchukua sura hiyo but additive or incremental;
 
Upo sahihi, lakini nadhani sijaeleweka vizuri; maana yangu hapa ni rahisi sana: Chadema needs to go to the people and listen to their needs, desires and hopes kama alivyofanya Nyerere alipojiuzulu siasa na kwenda vijijini na kugundua kwamba njia pekee hapa ni Ujamaa (as i have already discussed elsewhere); then baada ya hapo, Chadema has to assess the resources available and match them na desires, hopes and expectations za walio wengi, match this with ahadi zao towards 2015; wakifanya hivi, ni dhahiri watagundua kwamba safari ya mabadiliko ya kiuchumi kwa watanzania walio wengi ni ndefu sana and it has to take an additive approach, not radical kwani in practice, radical changes hazitawezekana; ndio maana nahimiza umuhimu wa chadema to lay out plan yao na kuiweka wazi kwa umma kwamba kwa muda fulani tutakuwa busy to reconstruct uchumi "WENU" ambao umeharibika chini ya utawala wa CCM, na hii itakuwa kazi kubwa na tutaomba sana mjifunge mkanda; then kuanzia muda fulani fulani, tutaanza phase two ambayo italenga Developmental issues (once we are satisfied with the reconstruction progress); maana yangu ni hii tu Jokakuu, otherwise I agree kwamba radical changes zinahitajika lakini implementation yake haiwezi kuchukua sura hiyo but additive or incremental;
Mchambuzi,

..hivi kwa haya madubwana yote tuliyonayo nchi hii kuanzia uranium,iron ore,natural gas, gold, ardhi, na rasilimali watu, wewe unadhani ni kitu gani kinawezekana within 5,10,and 15 yrs??

..labda tunachotofautiana is on how radical the changes that we want have to take place.

..mimi ninachoogopa ni attitude ya wa-Tanzania kuona kama umasikini ni halali yao. we r not that demanding kwa viongozi wetu.

..kuna fikra imejengeka nchi hii kwamba wananchi tuko kwa ajili ya kuwatumikia viongozi.

..quite frankly I would b happy kama CDM/CUF/CCM/CCJ etc etc watawafanya wananchi wawe na over expectations. hata kama kitendo hicho kitapelekea kuwaondoa madarakani.
 
Last edited by a moderator:
Mchambuzi,

..hivi kwa haya madubwana yote tuliyonayo nchi hii kuanzia uranium,iron ore,natural gas, gold, ardhi, na rasilimali watu, wewe unadhani ni kitu gani kinawezekana within 5,10,and 15 yrs??

..labda tunachotofautiana is on how radical the changes that we want have to take place.

..mimi ninachoogopa ni attitude ya wa-Tanzania kuona kama umasikini ni halali yao. we r not that demanding kwa viongozi wetu.

..kuna fikra imejengeka nchi hii kwamba wananchi tuko kwa ajili ya kuwatumikia viongozi.

..quite frankly I would b happy kama CDM/CUF/CCM/CCJ etc etc watawafanya wananchi wawe na over expectations. hata kama kitendo hicho kitapelekea kuwaondoa madarakani.

You have raised an interesting point ambayo ningependa kuijadili kidogo.

Miaka 50 iliyopita, Venezuelans, kama sisi leo hii, walikuwa wanazungumzia about "sowing the oil" – kwa maana ya kwamba kutumia mapato ya mafuta na gesi kuwekeza kwenye sekta ya kilimo hence transform the sector; Lakini matokeo yake, kilimo kikaendelea kuwa neglected as leaders were mesmerized by oil, including kujenga sky scrapers mijini, kutorosha fedha nje na kuweka kwenye mabenki uswisi n.k; Matokeo yake ni kwamba leo hii, Venezuela imports karibia nusu ya chakula chake; wananchi consume imported wheat kuliko wanayoizalisha ndani ya nchi; Wakati huo huo, politicians na washirika wao na pia wajanja wachache ndio wamekuwa the new middle class wakiishi Americanized life styles on Oil money huku majority ya wananchi wanaendelea kuwa katika hali duni; ni wananchi hawa ambao ndio waliomuunga mkono Hugo Chavez katika harakazi zake za mapinduzi, hasa kutokana na ahadi zake kwamba he will "Sow the oil" kwa faida ya wengi;

Leo hii, watanzania wanaimbiwa nyimbo na ngonjera zile zile za Hugo Chavez - kwamba nchi imejaa kila aina ya neema in terms of rasilimali na ni moja ya nchi zinazo zalisha Dhahabu kwa wingi sana duniani lakini utajiri huu unanufaisha wachache huku wananchi walio wengi wanazidi kuwa maskini. Sina maana kwamba Chadema watafanya ya Hugo Chavez bali natoa angalizo tu kwani tumeona jinsi gani CCM (Nape) na Chadema wameanza kuvutana juu ya fedha za vyama vyao huku suala la rasilimali zetu (oil, gas, minerals..) liki dominate sana kwenye mvutano huu. Ni muhimu kwa wananchi kuelewa kwa kina kuhusu suala hili, hasa given the experience kama ya Venezuela na kwingineko;

Mimi ni muumini wa economic development inayoendana sambamba na ukuaji wa demokrasia; kwa mfano, Iam against Maendeleo katika nchi zinazozalisha mafuta kwa wingi na zinazo experience economic growth and development kutokana na mafuta, lakini huku wananchi wake wakibanwa kwenye suala zima la demokrasia; Ndio maana nadhani nitakuwa sahihi kusema kwamba kama hatutakuwa careful, mapato yatayotokana na Resources za mafuta, gesi, madini…zinaweza kuja vuruga democratization Tanzania kwani utawala husika utakuwa katika nafasi nzuri ya kuchuma fedha kutoka sekta hizi na kuwekeza just the minium kwa manufaa ya wananchi huku nyingine nyingi zikienda mifukoni mwa watawala na wakubwa zao huko nje; Na katika mazingira yetu ya high illiteracy etc,wananchi wanaweza kuridhika na Maendeleo japo kidogo na kutoona tena umuhimu wa kubadilisha vyama vya siasa katika chaguzi kuu; hii inaweza kuua demokrasia nchi kwetu;

Chama ambacho kipo kwenye loosing end on this ni CCM na vyama vingine ambavyo havitafanikiwa kuwa part of the coalition government iwapo Chadema itashinda 2015; Pamoja na umuhimu wote wa rasilimali hizi (mafuta, gesi, madini..), bado nadhani kwamba income generated from accumulation of Human and Physical Capital ina manufaa zaidi kwa demokrasia yetu; CCM ipo katika hali mbaya sana kwani Chadema wakifanikiwa kuingia ikulu 2015 and sow just the minimum (oil, gas, uranium etc), kuna uwezekano wakakaa ikulu for the next foreseeable future kama ilivyo kwa vyama tawala Botswana, Angola etc ambako hali za maisha ya watu zinaboreshwa, lakini there is less pressure on democratization;

CCM had an opportunity to utilize resources za nchi in the context of what I have discussed lakini kuna kila dalili kwamba kimechelewa;
 
Mchambuzi,

..nakubaliana na mawazo mengi ktk post yako iliyotangulia.

..kwa kweli wakati umefika kwa wa-Tanzania kufaidika kutokana na rasilimali zilizoko nchini.

..kama tunadai tunachimba dhahabu kwa wingi, basi itapendeza kama tutasikia kwamba kuna barabara,hospitali,vyuo vya ufundi, vyuo vikuu, au miradi mingine kama hiyo imetekelezwa kutokana na mapato yanayotokana moja kwa moja na rasilimali hizo. If Oil rich countries r doing that, why cant we do the same with our gold?? I hope, serikali inayofuata baada ya hii itatufikisha hapo.

..suala lingine ni kuhakikisha kwamba kilimo kinaboreshwa, na wananchi wengi zaidi wana-graduate kutoka jembe la mkono kwenda kutumia wanyama kazi, na hata matrekta na mashine nyingine kubwa. Tukilenga kwenye kilimo bila shaka nchi itaweza kuwafikia wananchi wake wengi.

..zaidi, naamini tunapaswa kutafuta mbinu ya kuondokana na dhana ya kujisifa kwa utajiri wa rasilimali. tunatakiwa twende mahali tujisifu kutokana na ubora wa rasilimali watu tuliyonayo. yaani tufike mahali tuwe na uwezo wa kuwa na kitu kinachotambulika kwamba this is a "TANZANIAN PRODUCT." Wajerumani, Wajapani, Wahindi, wanasifika duniani kutokana na utaalamu, kazi za mikono yao, pamoja na ubora wa bidhaa wanazotengeneza.

..kwa mfano, siku zote utasikia "Cuban Doctors", "German car", "Moroccan sardines", "Indian rice", "Egyptian cotton", etc etc. I wish one of that could be us.

..lakini kama ulivyosema mambo kama hayo siyo rahisi kutekelezeka ndani ya miaka 5. ninachoweza kusema ni kwamba, wa-Tanzania watapenda kuona dalili zisizo za mashaka, kwamba tunaelekea kuwa taifa lenye uchumi imara, na jamii inayojitegemea.
 
Last edited by a moderator:
..lakini kama ulivyosema mambo kama hayo siyo rahisi kutekelezeka ndani ya miaka 5. ninachoweza kusema ni kwamba, wa-Tanzania watapenda kuona dalili zisizo za mashaka, kwamba tunaelekea kuwa taifa lenye uchumi imara, na jamii inayojitegemea.

Hii ndio changamoto kwa Chadema, hasa kuelimisha umma kwamba safari hiyo ni ndefu sana, vinginevyo bila ya kuelezea watanzania vipaumbele muda mfupi, wa kati na mrefu ni vipi, na matarajio yao yawe yepi katika maeneo gani na kwa muda gani, CCM itarudi tena kwenye uongozi 2020 (iwapo itapoteza 2015) na kutawala Tanzania for the next foreseeable future; ni muhimu Chadema wakaelewa kwamba wao na CCM they are facing the same common enemy and they are both vulnerable kutumbukia katika uchumi wa kunufaisha wachache, hasa watoa mitaji toka nje (foreign investors) at the expense of watanzania walio wengi;

Nimekuwa nikielezea jinsi gani wakubwa wa nje (worldbank, IMF na donor community in general) jinsi gani hawajali nani anaenda ikulu kwani wanajua sera zitakazotekelezwa ni zile zile ambazo CCM wanazitekeleza sasa, with a few tunes ups za hapa na pale, vinginevyo fundamentally, Chadema na CCM kwa wakubwa hawa, wote ni sawa tu - vyama vyote hivi vina mahaba ya kupindukia, tena hoi bin taabani on Liberalization, Marketization and Privatization bila kujali mapenzi haya yanaleta matatizo gani kwa watanzania walio wengi (hasa vijijini); Ndio maana hata ripoti moja ya World Bank ya mwaka huu on uchumi na maendeleo ya taifa letu (ofcourse chini ya uchumi unaosimamiwa na CCM ambayo Chadema wanasema kwamba imeshindwa kuongoza uchumi wa nchi), World Bank ripoti hii wameipa title: Tanzania Economic Update: Stairway to heaven - Fiscal Prudence, Value for Money in Education, Economic Transformation of Firms; ukiangalia ripoti hii, hakuna ngazi zozote kwa wananchi kupanda kuelekea mbinguni, bali ngazi iliyopo kwenda mbinguni ni ya wakubwa kutoka nje (FDI..) pamoja na washirika wao katika utawala wa nchi, ambao hata CCM wakianguka uchaguzi, pia watakuwepo kwenye serikali ya Chadema, tena wengi tu...
 
Tatizo ni CCM kupigana vita mpya kwa mbinu za kizamani, mwambieni Nape passed are times for propaganda. Watu wenye akili wanawadharau. Nape ni mtu mkubwa sana kwenye chama anaponyanyuka na kusema CHADEMA wanapokea hela kutoka nje ya nchi ili kuvuruga nchi, swali ni je, hakuna sheria zinazotoa miongozo juu ya ufadhiri wa vyama, na kama zipo ni serikali ya chama gani iliyoshindwa kusimamia?

Upinzani wa sasa hivi sio kama wa miaka ya 95 uliokuwa unaongozwa na vyama vya siasa, huu wa sasa hivi ni wa wananchi wenyewe. Na hapa ndio wanaposhindwa kuelewa kina Nape, it's not about the party, it's about the people who are tired of the life under their rule. Upinzani hautakufa Tanzania kwa kuiua CDM au kuwanunua viongozi wake. It is the people who are the opposition right now. Ndio maana ukiongea jambo baya kuhusu CDM hasa hasa bila ushahidi watu wanacheka.
Right on the point mkuu...
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom