Chama kinadhamana ndio chenye kutawala serikali kweli, lakini nape hayupo katika huo uongozi wa kiserikali yeye si mmbunge aseme kupeleka hoja bungeni, yeye afanyi kazi ktk wizara ya serikali na wala yeye ausiku wala hana influence katika maamuzi ya serikali. Yupo kwenye chama lakini si upande wa serikali sijui umenielewa kwa maana hiyo kuwasii wale wahusika sii kosa. Vingenevyo na yeye angekuwa direct vocally kama wengine wanao chukizwa na uozo kama vijana wengine waliopo mjengoni wa vyama vyote apparently.
rejea kazi na wajibu wa CC ya CCM