Dickson Mpemba
JF-Expert Member
- Jan 21, 2010
- 353
- 151
Acha unafiki wewe hata umri wa unafiki hujaufikia kama kweli una unaamini unachosimamia si ujiuzuru tu kwa nini unasubiri hadi ufukuzwe??!!! Kwa mantiki hiyo basi na the so called mafisadi wanasubiri muwafukuze harafu ndiyo mtajua kama kweli kitunguu kina gamba.