Ukombozi Sasa
Member
- Nov 5, 2010
- 17
- 10
View attachment 50108
Nape akiongea na waandishi wa habari kuhusu itikadi za CCJ
Moja, sikufahamu kumbe NAPE alikuwa Msemaji wa CCJ. Hii ni tabia ya kukimbilia madaraka na ajira ya huhakika wala si kwa kuwa anachukia anayo mapenzi ya nchi yake..Ukimwona mtu mwenye tamaa hizi za madaraka muogope sana, alipopewa V8 na CCM akatulia kimya. Sasa amebaki na sera za kujivua gamba ambazo ni unafiki mtupu na zimepoteza umaarufu kwa watanzania, nani CCM ni msafi. Na pia tukubali huyu NAPEY anachuki binafsi na EL na wala si lingine...kila Lowasa akisema hakosi hila, kama waswahili wanavyosema hasidi hakosi hila. Kama vile ni katibu wa itikadai kwa CCM anapaswa kuelezea jinsi gani CCM italeta maendeleo kwa wananchi hususani Elimu Bora, Makazi Bora, Ajira, Usalama wa Raia, Huduma Bora za Afya, na mengineyo na si kukurupuka rupuka na kusema tatizo la ajira ni dogo hapa nchini.. Lowasa aliongea vema kuhusu tatizo la ajira, hapa mzee huyu hakutenda baya hata kidogo..
Juzi nimesoma gazeti kuhusu NAPE kupinga kauli ya EL kwamba hakuna tatizo la ajira kwa vijana na eti EL angetoa data kusema hivyo, kwa hili unahitaji prove gani kama si uwendawazimu- kweli ufikiri wake ni wa kutosha. Hebu aangalie vijana wanaomaliza vyuo ambao hawana kazi, hebu hajaribu kufanya utafiti binafsi halafu useme ajira zipo. Tumedoda mtaani hatuna kazi hata kama unayo elimu ya chuo kikuu hamna kazi! Nape ni kheri angenyamaza kwenye hili....kuropoka ropoka saa nyingine hakufai- si kila analosema au kufanya Lowasa ni baya.. Mimi si CCM lakini kuhusu usemaji wa EL kuhusu ajira namuunga mkono 100%
Nape akiongea na waandishi wa habari kuhusu itikadi za CCJ
Moja, sikufahamu kumbe NAPE alikuwa Msemaji wa CCJ. Hii ni tabia ya kukimbilia madaraka na ajira ya huhakika wala si kwa kuwa anachukia anayo mapenzi ya nchi yake..Ukimwona mtu mwenye tamaa hizi za madaraka muogope sana, alipopewa V8 na CCM akatulia kimya. Sasa amebaki na sera za kujivua gamba ambazo ni unafiki mtupu na zimepoteza umaarufu kwa watanzania, nani CCM ni msafi. Na pia tukubali huyu NAPEY anachuki binafsi na EL na wala si lingine...kila Lowasa akisema hakosi hila, kama waswahili wanavyosema hasidi hakosi hila. Kama vile ni katibu wa itikadai kwa CCM anapaswa kuelezea jinsi gani CCM italeta maendeleo kwa wananchi hususani Elimu Bora, Makazi Bora, Ajira, Usalama wa Raia, Huduma Bora za Afya, na mengineyo na si kukurupuka rupuka na kusema tatizo la ajira ni dogo hapa nchini.. Lowasa aliongea vema kuhusu tatizo la ajira, hapa mzee huyu hakutenda baya hata kidogo..
Juzi nimesoma gazeti kuhusu NAPE kupinga kauli ya EL kwamba hakuna tatizo la ajira kwa vijana na eti EL angetoa data kusema hivyo, kwa hili unahitaji prove gani kama si uwendawazimu- kweli ufikiri wake ni wa kutosha. Hebu aangalie vijana wanaomaliza vyuo ambao hawana kazi, hebu hajaribu kufanya utafiti binafsi halafu useme ajira zipo. Tumedoda mtaani hatuna kazi hata kama unayo elimu ya chuo kikuu hamna kazi! Nape ni kheri angenyamaza kwenye hili....kuropoka ropoka saa nyingine hakufai- si kila analosema au kufanya Lowasa ni baya.. Mimi si CCM lakini kuhusu usemaji wa EL kuhusu ajira namuunga mkono 100%