Nape: Hivi sasa kwenye sekta ya mifugo hali imekuwa mbaya

Donatila

JF-Expert Member
Oct 23, 2014
7,557
21,506
nape.jpg


Mbunge wa Mtama kwa tiketi ya (CCM) Nape Nnauye amefunguka na kusema kuwa hivi sasa kwenye sekta ya mifugo hali imekuwa mbaya zaidi ukilinganisha na kipindi cha nyuma na kudai kuwa alitegemea mabadiliko makubwa baada ya uchaguzi wa mwaka 2015.

Nape Nnauye amesema hayo bungeni wakati akichangia hoja ya taarifa ya Kamati ya Kilimo, Mifugo na Maji iliyowasilishwa bungeni, mjini Dodoma ambapo Nape Nnauye amesema kitendo cha kufunikwa funikwa matatizo ya sekta hiyo ni kutoa kafala kwa wananchi zaidi ya asilimia 50 ambao wanategemea sekta ya mifugo.

"Kwa takwimu sekta hii ya mifugo inasemekana inahudumia kaya zaidi ya milioni nne ambazo zinajumlisha watu zaidi ya milioni 25 ambao ni zaidi ya asilimia 50% ya idadi ya watu wa nchi yetu lakini kwa takwimu hizo hizo sekta hii ya mifugo inachangia zaidi ya asilimia nne kwenye pato la taifa ambalo linashindana karibia sawa na madini katika nchi yetu. Lakini hali inayoendelea kwenye sekta hii ya mifugo ni mbaya sana na kwa bahati mbaya kwa miaka sasa limekuwa linakuja na kuzungumzwa hapa bungeni moto unawaka halafu zinakuchukuliwa hatua za kufunika ule moto watu wananyamaza halafu dhuruma na hujuma zinaendelea pale pale"

Nape Nnauye aliendelea kusema kuwa

"Mwaka 2013/15 moja ya kazi nilizofanya ni pamoja na kupita kwa wafugaji nchi nzima kuwasikiliza na kusikia manung'uniko yao na mimi nikategemea baada ya uchaguzi wa 2015 hali itabadilika bahati mbaya sana juzi mimi nikiwa Mjumbe wa Kamati ya Ardhi, Maliasili na Utalii tumekutana na wafugaji walikuja hapa Dodoma hali ni mbaya zaidi kuliko ilivyokuwa mwanzo na kama tutaendelea na hatua hizi za kuzima moto kila unapowaka maana yake ni moja tunatoa kafala asilimia 50% ya population ya nchi yetu ambayo inahudumiwa na sekta ya mifugo na kuwaacha hali yao ikiwa mbaya sana" alisisitiza Nape Nnauye.

Muungwana
 
Huyu tangu atolewe kwenye uwaziri amekosa mwelekeo kabisa, hivi hana marafiki wa kumshauri afunge mdomo wake
 
Majeruhi wa kisiasa wamebakia kulaumu na kufurahia mikwamo katika maendeleo mbali mbali. Badala ya kutoa mapendekezo kazi yao ni kuzodoa na kulaumu...
Sasa yeye amekuja na mapendekezo gani ili kuboresha hali?
 
Hongera nape sekta ya mifugo inahitaj uangalizi wa hali ya juu sabb kila mtanzania ni mfugaji hata awe nan lazma kwakwe anakamfugu na amin hata ikulu kuna mifugo kwahyo sera zake zikitekelezwa ipasavyo itasaidia sana kuinua kipato cha mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla .
 
View attachment 692116

Mbunge wa Mtama kwa tiketi ya (CCM) Nape Nnauye amefunguka na kusema kuwa hivi sasa kwenye sekta ya mifugo hali imekuwa mbaya zaidi ukilinganisha na kipindi cha nyuma na kudai kuwa alitegemea mabadiliko makubwa baada ya uchaguzi wa mwaka 2015.

Nape Nnauye amesema hayo bungeni wakati akichangia hoja ya taarifa ya Kamati ya Kilimo, Mifugo na Maji iliyowasilishwa bungeni, mjini Dodoma ambapo Nape Nnauye amesema kitendo cha kufunikwa funikwa matatizo ya sekta hiyo ni kutoa kafala kwa wananchi zaidi ya asilimia 50 ambao wanategemea sekta ya mifugo.

"Kwa takwimu sekta hii ya mifugo inasemekana inahudumia kaya zaidi ya milioni nne ambazo zinajumlisha watu zaidi ya milioni 25 ambao ni zaidi ya asilimia 50% ya idadi ya watu wa nchi yetu lakini kwa takwimu hizo hizo sekta hii ya mifugo inachangia zaidi ya asilimia nne kwenye pato la taifa ambalo linashindana karibia sawa na madini katika nchi yetu. Lakini hali inayoendelea kwenye sekta hii ya mifugo ni mbaya sana na kwa bahati mbaya kwa miaka sasa limekuwa linakuja na kuzungumzwa hapa bungeni moto unawaka halafu zinakuchukuliwa hatua za kufunika ule moto watu wananyamaza halafu dhuruma na hujuma zinaendelea pale pale"

Nape Nnauye aliendelea kusema kuwa

"Mwaka 2013/15 moja ya kazi nilizofanya ni pamoja na kupita kwa wafugaji nchi nzima kuwasikiliza na kusikia manung'uniko yao na mimi nikategemea baada ya uchaguzi wa 2015 hali itabadilika bahati mbaya sana juzi mimi nikiwa Mjumbe wa Kamati ya Ardhi, Maliasili na Utalii tumekutana na wafugaji walikuja hapa Dodoma hali ni mbaya zaidi kuliko ilivyokuwa mwanzo na kama tutaendelea na hatua hizi za kuzima moto kila unapowaka maana yake ni moja tunatoa kafala asilimia 50% ya population ya nchi yetu ambayo inahudumiwa na sekta ya mifugo na kuwaacha hali yao ikiwa mbaya sana" alisisitiza Nape Nnauye.

Muungwana
Kwa maoni yake, Nape, ni sekta gani anaona ina hali nzuri? Hizi ndizo imprest wanazoambizana kuzifanyia retirement Bungeni.
 
View attachment 692116

Mbunge wa Mtama kwa tiketi ya (CCM) Nape Nnauye amefunguka na kusema kuwa hivi sasa kwenye sekta ya mifugo hali imekuwa mbaya zaidi ukilinganisha na kipindi cha nyuma na kudai kuwa alitegemea mabadiliko makubwa baada ya uchaguzi wa mwaka 2015.

Nape Nnauye amesema hayo bungeni wakati akichangia hoja ya taarifa ya Kamati ya Kilimo, Mifugo na Maji iliyowasilishwa bungeni, mjini Dodoma ambapo Nape Nnauye amesema kitendo cha kufunikwa funikwa matatizo ya sekta hiyo ni kutoa kafala kwa wananchi zaidi ya asilimia 50 ambao wanategemea sekta ya mifugo.

"Kwa takwimu sekta hii ya mifugo inasemekana inahudumia kaya zaidi ya milioni nne ambazo zinajumlisha watu zaidi ya milioni 25 ambao ni zaidi ya asilimia 50% ya idadi ya watu wa nchi yetu lakini kwa takwimu hizo hizo sekta hii ya mifugo inachangia zaidi ya asilimia nne kwenye pato la taifa ambalo linashindana karibia sawa na madini katika nchi yetu. Lakini hali inayoendelea kwenye sekta hii ya mifugo ni mbaya sana na kwa bahati mbaya kwa miaka sasa limekuwa linakuja na kuzungumzwa hapa bungeni moto unawaka halafu zinakuchukuliwa hatua za kufunika ule moto watu wananyamaza halafu dhuruma na hujuma zinaendelea pale pale"

Nape Nnauye aliendelea kusema kuwa

"Mwaka 2013/15 moja ya kazi nilizofanya ni pamoja na kupita kwa wafugaji nchi nzima kuwasikiliza na kusikia manung'uniko yao na mimi nikategemea baada ya uchaguzi wa 2015 hali itabadilika bahati mbaya sana juzi mimi nikiwa Mjumbe wa Kamati ya Ardhi, Maliasili na Utalii tumekutana na wafugaji walikuja hapa Dodoma hali ni mbaya zaidi kuliko ilivyokuwa mwanzo na kama tutaendelea na hatua hizi za kuzima moto kila unapowaka maana yake ni moja tunatoa kafala asilimia 50% ya population ya nchi yetu ambayo inahudumiwa na sekta ya mifugo na kuwaacha hali yao ikiwa mbaya sana" alisisitiza Nape Nnauye.

Muungwana
Hao wenye mifugo achana nao wapambana na hali zao. Kadiri mambo yanavyokwenda mrama ndivyo akili zitawaingia.
 
View attachment 692116

Mbunge wa Mtama kwa tiketi ya (CCM) Nape Nnauye amefunguka na kusema kuwa hivi sasa kwenye sekta ya mifugo hali imekuwa mbaya zaidi ukilinganisha na kipindi cha nyuma na kudai kuwa alitegemea mabadiliko makubwa baada ya uchaguzi wa mwaka 2015.

Nape Nnauye amesema hayo bungeni wakati akichangia hoja ya taarifa ya Kamati ya Kilimo, Mifugo na Maji iliyowasilishwa bungeni, mjini Dodoma ambapo Nape Nnauye amesema kitendo cha kufunikwa funikwa matatizo ya sekta hiyo ni kutoa kafala kwa wananchi zaidi ya asilimia 50 ambao wanategemea sekta ya mifugo.

"Kwa takwimu sekta hii ya mifugo inasemekana inahudumia kaya zaidi ya milioni nne ambazo zinajumlisha watu zaidi ya milioni 25 ambao ni zaidi ya asilimia 50% ya idadi ya watu wa nchi yetu lakini kwa takwimu hizo hizo sekta hii ya mifugo inachangia zaidi ya asilimia nne kwenye pato la taifa ambalo linashindana karibia sawa na madini katika nchi yetu. Lakini hali inayoendelea kwenye sekta hii ya mifugo ni mbaya sana na kwa bahati mbaya kwa miaka sasa limekuwa linakuja na kuzungumzwa hapa bungeni moto unawaka halafu zinakuchukuliwa hatua za kufunika ule moto watu wananyamaza halafu dhuruma na hujuma zinaendelea pale pale"

Nape Nnauye aliendelea kusema kuwa

"Mwaka 2013/15 moja ya kazi nilizofanya ni pamoja na kupita kwa wafugaji nchi nzima kuwasikiliza na kusikia manung'uniko yao na mimi nikategemea baada ya uchaguzi wa 2015 hali itabadilika bahati mbaya sana juzi mimi nikiwa Mjumbe wa Kamati ya Ardhi, Maliasili na Utalii tumekutana na wafugaji walikuja hapa Dodoma hali ni mbaya zaidi kuliko ilivyokuwa mwanzo na kama tutaendelea na hatua hizi za kuzima moto kila unapowaka maana yake ni moja tunatoa kafala asilimia 50% ya population ya nchi yetu ambayo inahudumiwa na sekta ya mifugo na kuwaacha hali yao ikiwa mbaya sana" alisisitiza Nape Nnauye.

Muungwana
Kwa hiyo wewe ni shabiki wa Nape! UNamuona kama mtu wa kusema ya maana, unayafuatilia na kuyaleta hapa JF. Je, unafahamu kwamba ni mwanachama hapa JF na angeweza kuandika mwenyewe hapa? Wewe mwenyewe ndo Nape?

Anzisheni mijadala hapa JF ili tuwasaidie cha kusema badala ya kujifanya genius na kuishia kusema yasiyoendana na maisha ya watu.
 
Hajawahi kuaminika na hata aminika kwa siasa zake zisizo na maslai bora kwa wananchi.. Yupo radhi kutetea maslai ya chama kuliko wananchi msome vizuri..
 
Wabunge wanapokosoa ni vyema wakatoa na suluhisho ili tusolve matatizo yaliyopo tusonge mbele, bila hivyo kila siku tutakuwa palepale......amesema "takwimu hizo hizo sekta hii ya mifugo inachangia zaidi ya asilimia nne kwenye pato la taifa ambalo linashindana karibia sawa na madini katika nchi yetu", kweli tuna kazi kubwa, mifugo inaenda sambamba na MADINI??:(
 
Wewe kiazi kweli. Yaani Mmbunge asichangie kisa alitolewa kwenye Uwaziri? Akili za wapi hizi.

Wabunge wa ccm wachangie kwa kupongeza na kusifia tu? Hiyo ndiyo kazi ya Bunge? Hata wakati wa chama kimoja hatukua hivyo. Methinks it was mainly because of the quality of the leadership of that time.
 
Back
Top Bottom