Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Taarifa za ndani ya chama.
Kuna mwana CCM kajisahau kadhani kamtumia kiongozi wa CCM kigoma kumbe katuma kwa mtu sie anatoa maagizo ya kuwambia vijana wahakikishe wanafanya chochote wawezacho kwa gharama yoyote Dr. Slaa asifanye mkurano Kigoma mjini hasa siku ya Leo ( Uhuru wa Tanganyika).
Sasa nashindwa kuelewa lengo la CCM ni nini ?? Mara hawataki CDM kife mara wanataka kife. Unafiki huu mpaka lini?
Kuna mwana CCM kajisahau kadhani kamtumia kiongozi wa CCM kigoma kumbe katuma kwa mtu sie anatoa maagizo ya kuwambia vijana wahakikishe wanafanya chochote wawezacho kwa gharama yoyote Dr. Slaa asifanye mkurano Kigoma mjini hasa siku ya Leo ( Uhuru wa Tanganyika).
Sasa nashindwa kuelewa lengo la CCM ni nini ?? Mara hawataki CDM kife mara wanataka kife. Unafiki huu mpaka lini?