DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
Nape ananikumbusha yule katuni wa gazeti la SANI aitwae Kipepe. . . . Hafanikiwi, na anafanya yale yale.
anaitwa PIMBI
Nape ananikumbusha yule katuni wa gazeti la SANI aitwae Kipepe. . . . Hafanikiwi, na anafanya yale yale.
ccm wanaweza kuwa na mpango wa kuvamia mkutano wa chadema na kufanya fujo na kama kawaida yao watangaze kuwa chadema imefanya fujo nape siyo mjinga hivyo.....amewaomba polisi wamuombe dr slaa ushahidi kuwa ccm wameingiza silaha kwa ajili ya vijana wao waliopo makambini, akiri kuwa uwa ccm uwa wanawaweka vijana makambini kujadili mambo mbalimbali.
....asema chadema wamepanga kujifanyia fujo kwenye mkutano wao utakaofanyika morogoro mjini.
my take:
Hivi itawezekanaje wewe kujifanyia fujo kwenye mkutano wako mwenyewe?
Source: Itv
ccm wanaweza kuwa na mpango wa kuvamia mkutano wa chadema na kufanya fujo na kama kawaida yao watangaze kuwa chadema imefanya fujo nape siyo mjinga hivyo.
anasema kwenye kontena la kura walimsamehe Dr.Slaa kwani walijua anatamani kuingia ikulu,Ila kwa hili hawatasamehe, aidha amesema kuwa dr Slaa anazeeka vibaya awaachie vijana wafanye siasa