RUV ACTVIST.
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 472
- 110
Naomba niwashirikishe hii wana JF,
Hospitali ya wilaya Mafinga iliyoko mjini mafinga (IRINGA) amabako jana NAPE alitolea kauli yake ya kukalipia watumishi ndo kiini cha yeye kutoa ile kauli.
Tayari Mganga mkuu wa wilaya na Mganga mkuu wa kitengo cha Meno wamehamishwa kwa visa vya kisiasa, mbaya zaidi Mganga wa meno hakuna mwingine, hivyo wananchi wanakosa huduma kisa mganga wao yupo CHADEMA hivyo hastahili kufanya kazi MUFINDI (mafinga).
SWALI: Mufindi ni mali ya CCM? wanastahili kufanya kazi mufindi ni wanaCCM tu? Watumishi wote wanaonekana kuwa na uhusiano na waliohama wanayanyasika kwa maneno ya vitisho, Hali hii mpaka lini?
Kabla ya mkutano wa hadhara, Nape alikuwa na mkutano na walimu wa ndani (Naufatilia nijue aliwaambia nini) tena muda wa kazi,na walimu hao walidanganywa eti kuna mgeni toka wizarani amekuja kusikiliza kero za walimu, kuingia ukumbini wakakuta wali na soda na mzungumzaji ni NAPE, ni haki hii?
Hospitali ya wilaya Mafinga iliyoko mjini mafinga (IRINGA) amabako jana NAPE alitolea kauli yake ya kukalipia watumishi ndo kiini cha yeye kutoa ile kauli.
Tayari Mganga mkuu wa wilaya na Mganga mkuu wa kitengo cha Meno wamehamishwa kwa visa vya kisiasa, mbaya zaidi Mganga wa meno hakuna mwingine, hivyo wananchi wanakosa huduma kisa mganga wao yupo CHADEMA hivyo hastahili kufanya kazi MUFINDI (mafinga).
SWALI: Mufindi ni mali ya CCM? wanastahili kufanya kazi mufindi ni wanaCCM tu? Watumishi wote wanaonekana kuwa na uhusiano na waliohama wanayanyasika kwa maneno ya vitisho, Hali hii mpaka lini?
Kabla ya mkutano wa hadhara, Nape alikuwa na mkutano na walimu wa ndani (Naufatilia nijue aliwaambia nini) tena muda wa kazi,na walimu hao walidanganywa eti kuna mgeni toka wizarani amekuja kusikiliza kero za walimu, kuingia ukumbini wakakuta wali na soda na mzungumzaji ni NAPE, ni haki hii?