Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,867
Source BBC Kwa mujibu wa taarifa ya habari bwana Nape Nnauye kasema atatoa tamko la chama juu ya rasimu ya katiba kwani wao kama chama tawala na wana wabunge wengi na wanauwezo wa kukaa kama kamati na kuamua wapendavyo wataamua wapi walalie juu ya katiba. Na tamko hilo lonatolewa leo mchana mara baada ya kumalizika kwa kikao kilichoanza jana