Wizi wa kura tu hana la maana....nadhani mwaka huu Upinzani walinde kura zao kwa jasho na damu hadi kieleweke
Kwa dalili hizi za awali haionyeshi kama wanatafiti hata mbinu ambazo CCM huwa inatumia, ukiisha uchaguzi ndo utasikia malalamishi ya kuibiwa . you can't do the same thing the same way and expect different result.