- Thread starter
- #61
72.kununua bajaj nchi nzima kwa ajili ya kusaidia akina mama waja wazito
73.kuifanya kigoma kuwa kama dubai
74.kulipa deni la chama cha ushirika mwanza tzs 3bn
75.kutopenda kusafirisafiri maana nawaudhi wananchi
ushauri wa bure kwa nape, humu ukiingia sifu chadema mwanzo mwisho nakuapia hakiaamungu huta guswa na mtu kwa matusi wala kejeli na soon utaanza kuitwa shujaa, mpiganaji nk. Lakini kwa mwendo huu wa kusema ukweli hakika humu hapakufai