leonaldo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 2,585
- 3,179
Ujumbe huo unasema: Nyani waliposikia kuwa aliyekuwa akiwafukuza wasile mahindi amekufa, walishangilia sana. Mwaka uliofuata walipata njaa kali maana hakukuwa na mahindi. Ndipo walipogundua kuwa mtu aliyekufa ndiye alikuwa mkulima. Ujumbe: Jifunze kuishi na adui yako maana anaweza akawa ndiye nguzo pekee ya maisha yako.”
Chanzo gazeti mwananchi.
Unahisi Nape anataka kufikisha ujumbe gani kwa taifa lake hasa kwa watu wanaotaka Lisu aendelee kuumizwa baada ya kuumizwa kwa kuwa tu yeye sio mwanafamilia wa ukoo wa nyani?
Chanzo gazeti mwananchi.
Unahisi Nape anataka kufikisha ujumbe gani kwa taifa lake hasa kwa watu wanaotaka Lisu aendelee kuumizwa baada ya kuumizwa kwa kuwa tu yeye sio mwanafamilia wa ukoo wa nyani?