Japhari Shabani (RIP)
R I P
- Jan 16, 2007
- 721
- 176
Nape Msijifiche nyuma ya migongo ya wasanii kwa mtu mwenye akili timamu anajua ya kua watu watakua jangwani si kuskiliza porojo na usanii wa CCM bali wanakuja kwenyeshow ya kina Diamond.Kwa nafasi iliyonayo CCM ambapo vyombo vyote viko chini yake tulitegemea badala ya porojo na usanii mtafanya kazi kwa vitendo.NI CCM ILIYOTUFIKISHA HAPA TULIPO WANA NINI CHA KUTUELEZA KATIKA MKUTANO HUO.KAMA MGELIKUA WAUNGWANA NA WENYE BUSARA NGELITUMIA MKUTANO HUO KUOMBA RADHI NA KUWASHUKURU CHADEMA KWA JUHUDI ZAO ZA KUWAAMSHA WANANCHI.MUNGU IBARIKI TANZANIA.Mnatabu kubwa sana ya kujaribu kudanganya na kupotosha umma. Endeleeni lakini leo cha moto mtakiona.Mmebip leo tuna wapigia, msisite kupokea.